President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Utopolo akili zao zipo kwenye makalio. Mwiko upo nyuma. Kwikwikwikwikwikwi
Utoto mwingi
malaysia of africa 😂😂😂😂
wantam kasongo yeyeee
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1966142449728078017?s=46
Aerial slum 🤣🤣🤣Hii sasa ndio super flying crib 😂😂😂
Mnyamwezi hata hii kiingereza rahisi unashindwa tu bado kuelewa?🤣🤣🤣Spain hana ubalozi hapo ukunduni au mm ndiyo sijaelewa
Ndio maana nime-post!Spain hana ubalozi hapo ukunduni au mm ndiyo sijaelewa
That's Kasarani estate bongolala. A million times better than your sprawling uswazi hovelsAloooo, alafu hilo vundo kule pembeni sasa 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3469593
Full house Moja kwa mwaka ambayo hata sio sanctioned na FIFA Wala CAF ndio imekupa matumaini 😂😂😂😂Wakati tulikuwa tunawambia hiyo timu ya taifa tunajua madhaifu yake yapo kwa walimu hatuwamimi na ndiyo maana watu hawakuwa hata na habari nayo ilibidi wawe wanatumia nguvu kubwa kushawishi watu hebu ona Simba hakunanguvu iliyotumika timu ikifanya vizuri mashabiki utawapata tu wala haitaji nguvu
Ila hakuna timu kundustan ambayo ishawahi kusanya gate fee za kuzidi hata 8mil ksh wakati tzs the highest ilikuwa 23mil ksh.Full house Moja kwa mwaka ambayo hata sio sanctioned na FIFA Wala CAF ndio imekupa matumaini 😂😂😂😂
Full house huwa inapimwa kwa revenue collection , hivi highest revenue collection in Kenyan league ishawahi fika 10mil Toka Dunia iumbweFull house Moja kwa mwaka ambayo hata sio sanctioned na FIFA Wala CAF ndio imekupa matumaini 😂😂😂😂