Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

img_6770-jpeg.9377635
Utoto
 
Wakati tulikuwa tunawambia hiyo timu ya taifa tunajua madhaifu yake yapo kwa walimu hatuwamimi na ndiyo maana watu hawakuwa hata na habari nayo ilibidi wawe wanatumia nguvu kubwa kushawishi watu hebu ona Simba hakunanguvu iliyotumika timu ikifanya vizuri mashabiki utawapata tu wala haitaji nguvu
 
Wakati tulikuwa tunawambia hiyo timu ya taifa tunajua madhaifu yake yapo kwa walimu hatuwamimi na ndiyo maana watu hawakuwa hata na habari nayo ilibidi wawe wanatumia nguvu kubwa kushawishi watu hebu ona Simba hakunanguvu iliyotumika timu ikifanya vizuri mashabiki utawapata tu wala haitaji nguvu
Full house Moja kwa mwaka ambayo hata sio sanctioned na FIFA Wala CAF ndio imekupa matumaini 😂😂😂😂
 
Full house Moja kwa mwaka ambayo hata sio sanctioned na FIFA Wala CAF ndio imekupa matumaini 😂😂😂😂
Ila hakuna timu kundustan ambayo ishawahi kusanya gate fee za kuzidi hata 8mil ksh wakati tzs the highest ilikuwa 23mil ksh.
Tegemea revenue kutokana na gate fee kwa simba day na yanga day each kuzidi 40mil ksh kabla ya matangazo🤣.
Hakuna siku Kenya mshawahi kuwa na gate fee revenue kuizid Tanzania , mind you mwaka huu the highest ticket fee ni 30,000 ksh/ person . Tutafutie vip tickets za Kenya.
Hakuna timu ya Kenya Inaweza invite timu ya Tanzania kwa friendly match ika afford hata kuwagharamia nauli,posho chakula na mpaka malazi.
Ndo maana mnaona mpaka equity bank yuko radhi kulipia tangazo almost 3mil tsh kwa siku kwa simba day ila hawez weka hata 19,000 kwa league yenu
 
Back
Top Bottom