Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Wataseme uwanja wa mkapa sio mzuri ndiyo maana wamefungwa
Hata sijamaliza tayari kitombo kimeanza, leo 5 leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gor Mahia nimeona ni timu ndogo sana. Haiwezi kucheza pass zaidi ya tatu.
Leo chama langu Simba kwa mkopo namm😂