Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe wana buruza mkia!
1757570840566.png
 
Kujiliwaza ni ruksa, lakini leo Gor Mahia wamefungwa na Simba. Huo ndio ukweli wewe nyang'au🤣

Cc: Mimi Wewe Yule
And you wanted Gor Mahia to win against Simba every time? That would be a monopoly! Katika mchezo wa mpira lazima kuwe na mshindi na mshindwa. Gor has always been beating Simba so sijui hii furaha yote ni ya nini and it was only a friendly match!
 
And you wanted Gor Mahia to win against Simba every time? That would be a monopoly! Katika mchezo wa mpira lazima kuwe na mshindi na mshindwa. Gor has always been beating Simba so sijui hii furaha yote ni ya nini and it was only a friendly match!
Mechi za kujifurahisha lakini jamaa wamejitutumua mpka wanatoka jasho la meno. Yani inaonyesha vile wanatutamani 😂😂😂
 
Wataseme uwanja wa mkapa sio mzuri ndiyo maana wamefungwa
Huu mwaka tulikuwa na agenda ya siri na hivi vitimu vya EA, tumevipiga vyote, now hakuna kelele. Wanapotaja African league ranks hawa jamaa wanapaswa waelewe kwamba vigezo vimezingatiwa, imagine Simba imeshinda jana goli mbili lkn mashabiki wala hawajafurahi kabisa, wanaona bado wana kazi kufikia kiwango cha mtani wao, yn issue wala sio wamecheza na nani, issue ilikuwa ni kuangalia kiwango, yn imefika hatua sisi watanzania tunaziona timu za EA kama za ndondo aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Asanteni kwa kuitazama Gor Mahia. Ingekuwa makosa kuwafunga ilhali mumegharamia kila kitu 😂
Kwanza labda nikwambie, 90% ya watanzania waliotazama mechi ya Simba jana wala hawaijui Gor Mahia, walichokuwa wanaangalia jana ni wachezaji wa Simba pekee, yn viwango. Na, kwa taarifa yako tu mechi jana ilikuwa sio kufunga ngp mana ilikuwa lazima Simba ishinde, but viwango ndiyo vilizingatiwa.
 
And you wanted Gor Mahia to win against Simba every time? That would be a monopoly! Katika mchezo wa mpira lazima kuwe na mshindi na mshindwa. Gor has always been beating Simba so sijui hii furaha yote ni ya nini and it was only a friendly match!
Hakuna ulinganisho mzee, usifosi mambo, tuko tofauti sn kwa ss when it comes to football comparison, hakuna battle na nyie kwenye mpira, msijipe umuhimu ambao hakuna.
 
Hakuna ulinganisho mzee, usifosi mambo, tuko tofauti sn kwa ss when it comes to football comparison, hakuna battle na nyie kwenye mpira, msijipe umuhimu ambao hakuna.
Umuhimu gani tunajipa wakati nyinyi ni customers wetu at club level and national team level? Anayejipa umuhimu sasa ni wewe mwenye unasherehekea ushindi wa kwanza wa Simba dhidi ya Gor baada ya miaka sijui mingapi nayo ni friendly match!
 
Back
Top Bottom