The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yah, ni kweli.Hivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?
Yah, ni kweli.Hivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?
Kwani wewe hutamani kukimbia huko kenya kutokana na ugumu wa maisha? Ungependa kukimbia ila huwezi mana ndiyo nchi yako hiyo japo ni ya hovyo but huna pakwenda, mwenzio anapo pakwenda, ndiyo mana kaamua kurudi nchini kwake kwenye maziwa na asali, wewe baki huko huko cz hata ukitaka kukimbilia Tz siku hz tunawafukuza mfie huko huko kwenu, hatutaki wazembe na wavivu huku kwetu.Mwambie aende Burundi or Malawi maisha ni cheap huko.
Poor nations.
huyu jamaa anatema sana madini 🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DOMkB0pDLKU/?igsh=MWZ3anI4cTE1eHB0dQ==
Yeah. Labda web. Lakin app mpaka VPNHivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?
V8 ya msafara imeingia shimoni 😂😂
mbona maajabu haya alaf watu wameshangilia kabisa
View: https://www.instagram.com/reel/DORgG6hEbU4/?igsh=cjg3d3luYXVxbWtj
Matajiri wako mbele miaka 30
View: https://x.com/Kenyans/status/1962507125587898840?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1962507125587898840%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1961080343701676092
Vs Wale wanaitwa Masikini
View: https://www.instagram.com/reel/DOQ4zi6je8e/?igsh=ZmNqdmQxZnducWYw
Ila usishangae Nyang'au wakaja ten kuwaita hao matajiri
Yaani ndani ya wiki chache tu
Matajiri wako mbele miaka 30
View: https://x.com/Kenyans/status/1962507125587898840?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1962507125587898840%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1961080343701676092
Vs Wale wanaitwa Masikini
View: https://www.instagram.com/reel/DOQ4zi6je8e/?igsh=ZmNqdmQxZnducWYw
Ila usishangae Nyang'au wakaja ten kuwaita hao matajiri
Yaani ndani ya wiki chache tu
Njaa hamna na inakua aibu sana, imagine umebeba kasoda ka jero buku au unga seriously nyumbani upo.Ila watanzania ni wastarabu sana kwa kweli sio wanusa gundi ajali nyingi zinazowekwa humu watanzania wao wakimbilia kuokoa sio kuiba
Sio zaidi ya kukushangaa ni vile imagine upo kijiweni kwenye utani unaambiwaWatanzania labda gari la mafuta ndiyo huwa naona wanchota sio
vyakula na vinywaji ukiiba wanakushangaa kweli njaa ni mwana haram
Mimi wangeacha watu wachaguane wenyewe. Waache tamaa za wizi, insecurities na kuua watu.Huyo jamaa anawaabadilisha akíli watz kuliko Maelezo. Mtanzania wa sasa hadanganyiki hata kidogo.
Kimsingi anazidi kuwaharibia Hao CCM. CCM wangeridhiana tu. Vinginevyo tuendako hali itakuwa mbaya zaidi.
Huu ni muda wa kutumia akíli zaidi sio nguvu wala mihemuko.
Ila wana hawa majizi wa CCM ndio kwanza wapo uchaguzi wanatufanyia hivi wakishinda itakuaje?
My poor Tanzania yaani JF naingia na VPN?
Page inasemaje hasa or ina ujumbe gani?hali ngumu sasa hvi kaka 😂😂😂
Alafu hizo ndizo timu kubwa kenya lkn zinakula vipigo kwa timu ndogo za Tanzania, alafu hii timu ya mnuka mavi hii, juzi police timu yao bora kabisa kala kitombo toka singida black stars, timu ya nne Tz, bado gor mahia naye lazima ale kitombo kwa Simba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumeyatormba kwenye geto lao. 😂😂😂
View attachment 3467516
Tukabeba na kombe.
View attachment 3467518
Wamekimbia, spana za wiki hii sio mchezo, wanachungulia wanakimbia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kenge wa North wamepotelea wapi!?
Au wengi wao ni mabarmaids tu wako hapa hapa Bongo.