Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwambie aende Burundi or Malawi maisha ni cheap huko.
Poor nations.
Kwani wewe hutamani kukimbia huko kenya kutokana na ugumu wa maisha? Ungependa kukimbia ila huwezi mana ndiyo nchi yako hiyo japo ni ya hovyo but huna pakwenda, mwenzio anapo pakwenda, ndiyo mana kaamua kurudi nchini kwake kwenye maziwa na asali, wewe baki huko huko cz hata ukitaka kukimbilia Tz siku hz tunawafukuza mfie huko huko kwenu, hatutaki wazembe na wavivu huku kwetu.
 
Ila watanzania ni wastarabu sana kwa kweli sio wanusa gundi ajali nyingi zinazowekwa humu watanzania wao wakimbilia kuokoa sio kuiba
 
Watanzania labda gari la mafuta ndiyo huwa naona wanchota sio

vyakula na vinywaji ukiiba wanakushangaa kweli njaa ni mwana haram
 
Ila watanzania ni wastarabu sana kwa kweli sio wanusa gundi ajali nyingi zinazowekwa humu watanzania wao wakimbilia kuokoa sio kuiba
Njaa hamna na inakua aibu sana, imagine umebeba kasoda ka jero buku au unga seriously nyumbani upo.

Utanangwa vijiweni sana, labda kitu pekee wanaweza jaribu kuloot ni vile vipo beyond chakula

Like iangushe TV, subwoofer etc yaani vitu vile tunastrive kuvimilika hapo huenda roho ikashawishika.

Na still kuvilooot hivyo sio rahisi maana utajikuta unaloot mwenyewe upigwe kofi 😂😂😂
 
Watanzania labda gari la mafuta ndiyo huwa naona wanchota sio
vyakula na vinywaji ukiiba wanakushangaa kweli njaa ni mwana haram
Sio zaidi ya kukushangaa ni vile imagine upo kijiweni kwenye utani unaambiwa

"Kwenda huko bana huna lolote ndio maana uliokota soda ya jero"

"Huyo hawezi nunua soda kaokote"

Ukimuuliza mtu akuunganishe Bar
Utasikia

"Hebu wewe subiri gari nyingine ianguke ukaokote"

It pains mzee it's humiliating asee kushobokea chakula bongo.
 
Huyo jamaa anawaabadilisha akíli watz kuliko Maelezo. Mtanzania wa sasa hadanganyiki hata kidogo.

Kimsingi anazidi kuwaharibia Hao CCM. CCM wangeridhiana tu. Vinginevyo tuendako hali itakuwa mbaya zaidi.
Huu ni muda wa kutumia akíli zaidi sio nguvu wala mihemuko.
Mimi wangeacha watu wachaguane wenyewe. Waache tamaa za wizi, insecurities na kuua watu.

Mambo mengine mbona wako sawa tu.
 
Tumeyatormba kwenye geto lao. 😂😂😂
1757265104777.png


Tukabeba na kombe.
1757265216783.jpeg
 
Tumeyatormba kwenye geto lao. 😂😂😂
View attachment 3467516

Tukabeba na kombe.
View attachment 3467518
Alafu hizo ndizo timu kubwa kenya lkn zinakula vipigo kwa timu ndogo za Tanzania, alafu hii timu ya mnuka mavi hii, juzi police timu yao bora kabisa kala kitombo toka singida black stars, timu ya nne Tz, bado gor mahia naye lazima ale kitombo kwa Simba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mm sinaga huruma kabisa na hawa mbwa, nilishasema kama ikitokea nipo msituni alafu akatokea Simba na mnusa gundi, naua kwanza mnusa gundi alafu simba tutajuana baadae. Na kama ingewezekana pia ningepeleka viruses ili wapungue mana watatupa shida kuwalisha hawa tegemezi, wanazaana kwa rate ya ajabu alafu wavivu.
 
Back
Top Bottom