Mimi wangeacha watu wachaguane wenyewe. Waache tamaa za wizi, insecurities na kuua watu.Huyo jamaa anawaabadilisha akíli watz kuliko Maelezo. Mtanzania wa sasa hadanganyiki hata kidogo.
Kimsingi anazidi kuwaharibia Hao CCM. CCM wangeridhiana tu. Vinginevyo tuendako hali itakuwa mbaya zaidi.
Huu ni muda wa kutumia akíli zaidi sio nguvu wala mihemuko.
Ila wana hawa majizi wa CCM ndio kwanza wapo uchaguzi wanatufanyia hivi wakishinda itakuaje?
My poor Tanzania yaani JF naingia na VPN?
Page inasemaje hasa or ina ujumbe gani?hali ngumu sasa hvi kaka 😂😂😂
Alafu hizo ndizo timu kubwa kenya lkn zinakula vipigo kwa timu ndogo za Tanzania, alafu hii timu ya mnuka mavi hii, juzi police timu yao bora kabisa kala kitombo toka singida black stars, timu ya nne Tz, bado gor mahia naye lazima ale kitombo kwa Simba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumeyatormba kwenye geto lao. 😂😂😂
View attachment 3467516
Tukabeba na kombe.
View attachment 3467518
Wamekimbia, spana za wiki hii sio mchezo, wanachungulia wanakimbia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kenge wa North wamepotelea wapi!?
Au wengi wao ni mabarmaids tu wako hapa hapa Bongo.
Yale mafuta hata wasipoyachota si yanapotea tu,inakua haina jinsiWatanzania labda gari la mafuta ndiyo huwa naona wanchota sio
vyakula na vinywaji ukiiba wanakushangaa kweli njaa ni mwana haram
Which sport is nusa gundi nation good at 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuandamana kudai bei ya unga ishuke. 😂😂😂Which sport is nusa gundi nation good at 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila mchina shikamoo😂😂🙌🏻
hapo utakuta bei halisi ni 200m usd
alaf another 144m usd ni ya politicians
View: https://x.com/ericnjiiru/status/1964614681668309173?s=46