Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,626
Mombasa ni kweli,nimesafirisha sana sofa,makabati na magodoro,mombasa hadi leo nguo nyingi zinatoka TZ,ukiwa na mtaji mkubwa hizi nguo za akina mama abaya sijui,msa unapiga hela,wenyewe kwanza wanakuambia wapo close na TZ kuliko naikundu,tukaikomboe mombasa yetu