ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
politicians hawawez kua maskini labda wafe😂
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1960782333163753545?s=46
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1960782333163753545?s=46
Ndo hapo inabidi kuanza kuunda viwanda vidogo vidogo vya kutengeneza bidhaa kama chassis na kadhalika ambavyo havihitaji machinery kubwa then sisi tunakuwa tunawauzia badala ya sasa wanaagiza chassis moja kwa mojainabidi tuchangamkie fursa hizo mchina yeye kashaonesha nia imebakia kwetu sasa
ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
NDINDA gari ya taka hio alaf imagine inaingia mjini mbele ya macho ya afisa usalama wote😂😂😂😂😂😂
View attachment 3456155
Hawa ndio wanahudhuria maandamano na kwenda uwanjani Bure kwa kuruka gate😂ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
ndani ya mji mzee mjini kabisa 😂😂😂Hiyo chuma ipo ndani ya jiji au nje ya jiji
Hadi gari lenyewe ni Takataka😂😂😂NDINDA gari ya taka hio alaf imagine inaingia mjini mbele ya macho ya afisa usalama wote😂😂😂😂😂😂
View attachment 3456155
Wana subiri papoe waje na picha za uwanja wa mchina, apartments za mchina na maghorofa ya wachina kujiliwaza. 😂😂😂Kundurenda wanavyo chungulia uzi baada ya mwenyekiti kuwapapasa makalio View attachment 3456117
wewe unashangaa hio imagine mtu anachimba kisima kwenye pedestrian walkways na hakuna mtu anajali 😂😂😂Hiyo chuma ipo ndani ya jiji au nje ya jiji
"Kwa majina naitwa Geoffrey Mosiria ni katibu wa mazingira Nairobi" 😂😂😂huu mji ukivuta hewa unavuta harufu ya mizoga na vinyesi ndio maana watu all the time wamevaa mask 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View attachment 3456188View attachment 3456189View attachment 3456190
karibu sana mkikuyu katibu wa mazingira😂"Kwa majina naitwa Geoffrey Mosiria ni katibu wa mazingira Nairobi" 😂😂😂
imagine hapa bongo kuna assembler wa Howo na FAW order ni nyingi sana naona kama watazidiwa inabidi waongeze capacity kwa kweliMbona china mwaka huu wanakazi sana , yaani hata kiwanda walichojenga naona hakitatosha mahitaji
hapo maeneo ya sokoni ndio napataka mkuuhio ndio sehem pekee nairobi imewekwa paving ya pedestrian tena katikati ya barabara ndio zile picha hua wanapost hapa ukitoka nje ya hio muindi mbingu street kote ni kwangu pakavu 😂😂😂😂
This is poverty in real senseile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
walitucheka na sasa jini kawaingia 😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1960930351280238820?s=46
Kwa sasa order ni nyingi sana vile viwanda haviwezi himili , siku wanazindua kile Cha bagamoyo walikuwa wanaorder mkononi units 1000 na ilikuwa kipindi hizi agiza agiza za units 100 hazijaanza. Kwenye makaa ya mawe kampuni kibao zinachemka kutimiza orderimagine hapa bongo kuna assembler wa Howo na FAW order ni nyingi sana naona kama watazidiwa inabidi waongeze capacity kwa kweli