Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA gari ya taka hio alaf imagine inaingia mjini mbele ya macho ya afisa usalama wote😂😂😂😂😂😂
IMG_8180.jpeg
 
Umewapiga sindano zimegonga hadi mifupa wanaugulia maumivu ukipata mda tupe Nganya zao, standi za mabasi yao, ikiwezekama uliza na vitu wanavyotumia kutoka Tanzania kama Sabuni, vinywaji, vyakula, ili tujue nani ni supa pawa
ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
 
ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
Hawa ndio wanahudhuria maandamano na kwenda uwanjani Bure kwa kuruka gate😂
 
ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻


View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
This is poverty in real sense
 
imagine hapa bongo kuna assembler wa Howo na FAW order ni nyingi sana naona kama watazidiwa inabidi waongeze capacity kwa kweli
Kwa sasa order ni nyingi sana vile viwanda haviwezi himili , siku wanazindua kile Cha bagamoyo walikuwa wanaorder mkononi units 1000 na ilikuwa kipindi hizi agiza agiza za units 100 hazijaanza. Kwenye makaa ya mawe kampuni kibao zinachemka kutimiza order
 
Back
Top Bottom