babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Wakiambiwa ukweli wana tabia ya kusema "Enda basi ukaishi huko" 😂😂😂
Ni sehemu gani hapa EAC kuna umasikini kama uliopo Turkana!
Wakiambiwa ukweli wana tabia ya kusema "Enda basi ukaishi huko" 😂😂😂
Hiyo ni kigoma interior 1600km from Dar haya tuoneshe zenu za 700km tuu from Nairobi tucheke kidogo.🤣 🤣 🤣 wueeeeeehhh
![]()
Igaiga countrySijui nasisi tuandamane kuwa tunataka kuzuiwaView attachment 3454526 🤣🤣🤣🤣
Hivi unataka nikubebe nikupeleke Mwanza nikuonyeshe ndio hii ndio ukubali ama unatakaje maanake at this point you sound like an irredeemable fool.Where is it basi?
Kwahiyo na mimi nikiandika hapa thread niweke majengo makali eti yatajengwa Tanzania ni fact?
Acha upuuzi yapo hospital gani sasa?
Any I am waiting gari ya serikali ya 40yrs
Embu tuoneshe side walks hapa. people are literally walking on the road.
View: https://youtu.be/I507n39mQbo?si=OqGUVFbLAo0NVLOJ
Why are you measuring from Dar while in Kenya you measure from Nairobi? Wacha nikupe 1000km from Mombasa. Hii hapa.Hiyo ni kigoma interior 1600km from Dar haya tuoneshe zenu za 700km tuu from Nairobi tucheke kidogo.
Nilikudharau sana baada ya kukuona huko Nairaland unasajili Accounts zaidi ya 100 ili uonekane kuwa ni watu wengi. Hapa umesajili accounts zaidi ya 20. Ninayo proof. Na zote ni active kwenye jukwaa hiliThat is an underpass you idiot, the sidealk is on the upper side. Those people are jaywalking. The amount of foolishness in you people keeps hitting new lows. Hiyo video imechukuliwa hapo kwa blue arrow. The sidewalk iko pale kwa red arrows. Mmepata sidewalks juzi mnaona ni miujiza. kha! Mnachosha.
View attachment 3454605
Wanapenda kulazimisha waonekane kuwa nchi yao ipo vizuri kumbe bado wanapokea chakula cha misaada. 😂😂😂Nilikudharau sana baada ya kukuona huko Nairaland unasajili Accounts zaidi ya 100 ili uonekane kuwa ni watu wengi. Hapa umesajili accounts zaidi ya 20. Ninayo proof. Na zote ni active kwenye jukwaa hili
Nchi zote maskini duniani zipo hivyo kaka zinawekeza zaidi kwenye media badala ya employement ya CitizenWanapenda kulazimisha waonekane kuwa nchi yao ipo vizuri kumbe bado wanapokea chakula cha misaada. 😂😂😂
Hapa sio Mars aka Red Planet ? 😂Makueni County
View attachment 3454582
Juzi serikali yao ikawa ina sponsor online bullying kwa Watanzania ili wakunya wasahau maandamano. 😂😂😂Nchi zote maskini duniani zipo hivyo kaka zinawekeza zaidi kwenye media badala ya employement ya Citizen
Ni ujinga sana. Just imagine, wanata tuanze kishindana kuja uwaja wa football, wakati tiketi zao zote za kuingia uwanjani zimelipiwa na Ruto.Juzi serikali yao ikawa ina sponsor online bullying kwa Watanzania ili wakunya wasahau maandamano. 😂😂😂
Picha za 2015, hii barabara ni carpet mpaka lodwar sahii.
Watchman amekuwa expert wa aviation 😂😂😂😂😂😂Sisi tulio kwenye hiyo industry huwa tunacheka tukuona hawa wanuka mavi wakishangilia profit ya KQ, ndege ina ma delays na ma cancellation kila siku, na sio tu dar mpk nairobi ni mwendo huo huo, inawezaje ku record profit? Hata hizo loss wanazosema ni ndogo, hakuna abiria anaitegemea kq kwa safari, unaweza ukaondoka leo kwa kq kuelekea SA tu apo lkn ukafika keshokutwa, ndege ya kifala sn kq. Ukiona abiria anapanda kq ujue ni kwasababu ya cheap price.
Embu tuoneshe side walks hapa. people are literally walking on the road.
View: https://youtu.be/I507n39mQbo?si=OqGUVFbLAo0NVLOJ