Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 🤣 🤣 wueeeeeehhh


Image
Hiyo ni kigoma interior 1600km from Dar haya tuoneshe zenu za 700km tuu from Nairobi tucheke kidogo.
 
Where is it basi?

Kwahiyo na mimi nikiandika hapa thread niweke majengo makali eti yatajengwa Tanzania ni fact?

Acha upuuzi yapo hospital gani sasa?

Any I am waiting gari ya serikali ya 40yrs
Hivi unataka nikubebe nikupeleke Mwanza nikuonyeshe ndio hii ndio ukubali ama unatakaje maanake at this point you sound like an irredeemable fool.
 
Embu tuoneshe side walks hapa. people are literally walking on the road.

View: https://youtu.be/I507n39mQbo?si=OqGUVFbLAo0NVLOJ

That is an underpass you idiot, the sidewalk is on the upper side. Those people are jaywalking. The amount of foolishness in you people keeps hitting new lows. Hiyo video imechukuliwa hapo kwa blue arrow. The sidewalk iko pale kwa red arrows. Mmepata sidewalks juzi mnaona ni miujiza. kha! Mnachosha.
1.png
 
That is an underpass you idiot, the sidealk is on the upper side. Those people are jaywalking. The amount of foolishness in you people keeps hitting new lows. Hiyo video imechukuliwa hapo kwa blue arrow. The sidewalk iko pale kwa red arrows. Mmepata sidewalks juzi mnaona ni miujiza. kha! Mnachosha.
View attachment 3454605
Nilikudharau sana baada ya kukuona huko Nairaland unasajili Accounts zaidi ya 100 ili uonekane kuwa ni watu wengi. Hapa umesajili accounts zaidi ya 20. Ninayo proof. Na zote ni active kwenye jukwaa hili
 
Nilikudharau sana baada ya kukuona huko Nairaland unasajili Accounts zaidi ya 100 ili uonekane kuwa ni watu wengi. Hapa umesajili accounts zaidi ya 20. Ninayo proof. Na zote ni active kwenye jukwaa hili
Wanapenda kulazimisha waonekane kuwa nchi yao ipo vizuri kumbe bado wanapokea chakula cha misaada. 😂😂😂
 
Juzi serikali yao ikawa ina sponsor online bullying kwa Watanzania ili wakunya wasahau maandamano. 😂😂😂
Ni ujinga sana. Just imagine, wanata tuanze kishindana kuja uwaja wa football, wakati tiketi zao zote za kuingia uwanjani zimelipiwa na Ruto.

Yaani wanapendelea trivial issues. Ukiwaambia tushindane development huwaoni wanaishia mitini.
Kenya is already dead
 
Sisi tulio kwenye hiyo industry huwa tunacheka tukuona hawa wanuka mavi wakishangilia profit ya KQ, ndege ina ma delays na ma cancellation kila siku, na sio tu dar mpk nairobi ni mwendo huo huo, inawezaje ku record profit? Hata hizo loss wanazosema ni ndogo, hakuna abiria anaitegemea kq kwa safari, unaweza ukaondoka leo kwa kq kuelekea SA tu apo lkn ukafika keshokutwa, ndege ya kifala sn kq. Ukiona abiria anapanda kq ujue ni kwasababu ya cheap price.
Watchman amekuwa expert wa aviation 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom