Kaka unabishana naye nini huyo mjinga!?Ndo maana tunawaambia nyinyi ni washamba na siku zote mtu mshamba akibahatisha anapiga kelele sana, huwez shindana na nchi ambayo dhamnanya league yake ni 10times yenu kwa ajili ya mashindano ya mara moja .
Ndo maana unaulizwa the highest revenue kwenye mpira ni kiasi gani unakimbia .
Kama mngekuwa hamuendi kushangaa kiwanja tulitegemea muwe at least mnaongoza kwa mapato ya mpira kwa nchi za east africa ila hampatikani , kwahiyo kilichowapeleka uwanjan ni ushamba
Huyo ni attention seeker tu.
Humu ndani walishaelezwa sana kuhusu sababu za TZ kutohudhuria kiukamilifu mechi za CHAN.
Ila bado wanashupaza akili.
Kama watanzania ni masikini wanawezaje kujaza uwanja kwenye mechi za ligi?
Yanga ilicheza na Rayon sports mashabiki walisafiri kutoka TZ kwenda Rwanda utasemaje hao masikini!?
Mpumbavu huyo mpuuze tu.