Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana tunawaambia nyinyi ni washamba na siku zote mtu mshamba akibahatisha anapiga kelele sana, huwez shindana na nchi ambayo dhamnanya league yake ni 10times yenu kwa ajili ya mashindano ya mara moja .
Ndo maana unaulizwa the highest revenue kwenye mpira ni kiasi gani unakimbia .

Kama mngekuwa hamuendi kushangaa kiwanja tulitegemea muwe at least mnaongoza kwa mapato ya mpira kwa nchi za east africa ila hampatikani , kwahiyo kilichowapeleka uwanjan ni ushamba
Kaka unabishana naye nini huyo mjinga!?
Huyo ni attention seeker tu.
Humu ndani walishaelezwa sana kuhusu sababu za TZ kutohudhuria kiukamilifu mechi za CHAN.
Ila bado wanashupaza akili.
Kama watanzania ni masikini wanawezaje kujaza uwanja kwenye mechi za ligi?
Yanga ilicheza na Rayon sports mashabiki walisafiri kutoka TZ kwenda Rwanda utasemaje hao masikini!?
Mpumbavu huyo mpuuze tu.
 
Kaka unabishana naye nini huyo mjinga!?
Huyo ni attention seeker tu.
Humu ndani walishaelezwa sana kuhusu sababu za TZ kutohudhuria kiukamilifu mechi za CHAN.
Ila bado wanashupaza akili.
Kama watanzania ni masikini wanawezaje kujaza uwanja kwenye mechi za ligi?
Yanga ilicheza na Rayon sports mashabiki walisafiri kutoka TZ kwenda Rwanda utasemaje hao masikini!?
Mpumbavu huyo mpuuze tu.
Haha namjua vizuri kuna muda inabidi tu umenjoy maana hanaga akili na Wala hakuna anachojua .
 
Wewe ndio unaamua which countries are developed. Unafanya kazi ya kuosha choo IMF ama? 🤣 🤣


View: https://www.instagram.com/p/DEVAZofsmq7/?utm_source=ig_web_copy_link

Wenzako wanajiweka developing country list kilazima ili kupata favor ya World Trade organization.
Ila China Ina all criterias of developed country.
Wacha kukariri kama ng'ombe.
Embu soma hapo chini.
USA walishaitisha kura kwaajili ya kuitoa China kwenye list ya developing countries.
Maana imeshavuka criterias zote.
Screenshot_20250824-002923.png
Screenshot_20250824-002944.png
Screenshot_20250824-002955.png
 
Back
Top Bottom