Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Every city has an international Image.

Dar_es_Salaam_Port_Lighthouse.JPG



stock-vector-vector-illustration-of-the-cityscape-skyline-of-dar-es-salaam-tanzania-350023388.jpg
Ur making me laugh... Wacha kuiabisha man
 
[emoji22] [emoji22] britam 200m height 33fl.

Average of 6m each floor[emoji15] [emoji15].

Unaona tatizo lilipo??
huyo ndio mzee wa bomu ndio umjue leo😀😀

hujifanya mjuaji sana siku moja nilimtegeshea bomu lilikua la wanjala akalidaka yeye heheh lilimripukia lilimtesa wiki nzima analia humu ndani😀
 
Hawa watu waajabu kiukweli
SGR Reli safi wakanunua mitungi ya chang'aa eti Treni
leo wanatuletea Zizi la Mbuzi eti Fly over!!
At least sisi tuko na zizi la mbuzi. Hebu nyinyi leteni zizi la farasi pia dunia ione
 
huyo ndio mzee wa bomu ndio umjue leo😀😀

hujifanya mjuaji sana siku moja nilimtegeshea bomu lilikua la wanjala akalidaka yeye heheh lilimripukia lilimtesa wiki nzima analia humu ndani😀
Moscow aviation engineer, Ngoja nikupe shule!
unachukua height ya ghorofa (sio jengo) unagawa kwa idadi ya ghorofa utapata average floor height.
Twende kwa mifano:
Burj khalfa ni kama 828 meters ila ghorofa zimeishia kama 740 meters hivyo basi ukichukua 740 meter ukagawa kwa idadi ya ghorofa (163) utapata average floor height ni kama 4.5 meters!
 
wanjala aliona hali ngumu akakwepa bomu akaenda kulinasa mjuaji hahahahha nikikumbuka hua nacheka sana😀😀😀😀😀😀😀 mzee wa bomu hydrogen bomb
 
wanjala aliona hali ngumu akakwepa bomu akaenda kulinasa mjuaji hahahahha nikikumbuka hua nacheka sana😀😀😀😀😀😀😀 mzee wa bomu hydrogen bomb
Moscow aviation engineer, Ngoja nikupe shule!
unachukua height ya ghorofa (sio jengo) unagawa kwa idadi ya ghorofa utapata average floor height.
Twende kwa mifano:
Burj khalfa ni kama 828 meters ila ghorofa zimeishia kama 740 meters hivyo basi ukichukua 740 meter ukagawa kwa idadi ya ghorofa (163) utapata average floor height ni kama 4.5 meters!
 
Uchawi ni kukula albino vile mfanyavyo hapo danganyika
laana mlioachiwa nyie ni kuuwana kikabila na hio laana lazima iwatese usiku na mchana, huku bado msomali anawasubiria mlangoni😀😀😀😀😀😀

ya leo hio kazi ni kazi
0F5C9E3E-409C-4FC1-B6A8-FA44A3D83F29.jpeg


alafu mumekaa munangoja watalii waje hio msahau
 
That staff is too small seems only two lanes
bado ubungo inakusubiria floor tatu kwenda juu wachina na wakorea wako mzigoni usiku na mchana

highway ya ubungo mpaka chalinze 120km kazi imeanza na waneanza phase 1 tayari 6 lanes😀😀😀😀

alaf munakuja panua midomo yenu eti kenya kuna mega project nyingi kuliko tanzania au mulijua ni ile tz ya 90s
 
kuna msemo husema kwamba mbaazi ikikosa matunda husingizia jua. Haya basi leta yenu ya ng'ombe mliyojenga hapo bongolala tuone.
huo msemo unafanya kazi wapi????😀😀😀
msemo hauna mahusiano na facts be serious
 
Back
Top Bottom