Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Were domestic tourist
nani atasafiri ikiwa polisi wanaolinda amani wanauliwa kama kuku nani atakwenda kufanya tour?😀😀😀
64C03469-D920-4A8E-85F2-892A55C7B9B4.jpeg
 
bado ubungo inakusubiria floor tatu kwenda juu wachina na wakorea wako mzigoni usiku na mchana

highway ya ubungo mpaka chalinze 120km kazi imeanza na waneanza phase 1 tayari 6 lanes😀😀😀😀

alaf munakuja panua midomo yenu eti kenya kuna mega project nyingi kuliko tanzania au mulijua ni ile tz ya 90s
Vitu tulifanya 2005 ndio mnaanza sai??
 
Premier location, tunasubili povu upande wa pili?
That looks like Nyali, Mombasa. Ndo maana siku zote tunawaambia Dar inaweza pambana tu na Mombasa. Nairobi ni moto wa kuotea mbali to that glorified village called Dar
 
Jojo hesabu
mbona simpo sana!
unachukua height ya ghorofa (sio jengo) unagawa kwa idadi ya ghorofa utapata average floor height.
Twende kwa mifano:
Burj khalfa ni kama 828 meters ila ghorofa zimeishia kama 740 meters hivyo basi ukichukua 740 meter ukagawa kwa idadi ya ghorofa (163) utapata average floor height ni kama 4.5 meters!
 
That looks like Nyali, Mombasa. Ndo maana siku zote tunawaambia Dar inaweza pambana tu na Mombasa. Nairobi ni moto wa kuotea mbali to that glorified village called Dar
sisi tuliwaruhusu toka mwanzo leteni nairobi mombasa na kisumu na bado hamuinhii ndani 1590km sq
nairobi 696 km sq
msa 240km sq
kisumu 120km sq
muongezee na zingine pia
 
Back
Top Bottom