Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,870
- 32,650
Yaani nyie nyang’au bado tu hamuamini kuwa mmetolewa jana? Wenzenu tumeshakubali na maisha yanasonga😂Wake zetu
View attachment 3449900
Cc: Mimi Wewe Yule
Yaani nyie nyang’au bado tu hamuamini kuwa mmetolewa jana? Wenzenu tumeshakubali na maisha yanasonga😂Wake zetu
View attachment 3449900
Wakiona Tanzania inashirika AFCON 2025 halafu wao hawashiriki makasiriko ndo yanazidi. 😂😂😂Yaani nyie nyang’au bado tu hamuamini kuwa mmetolewa jana? Wenzenu tumeshakubali na maisha yanasonga😂
Cc: Mimi Wewe Yule
Uwanja wao mbovu, taa hafifu na pitch mbovu utadhani ni shamba la mpunga. 😂😂😂Ugali FC, Kasongo Kids Aka Midomo nation wakundustan sasa hivi wapo kimyaaaa wanafikiria cha kutokea😂
Jaruba la mpunga lina afadhaliUwanja wao mbovu, taa hafifu na pitch mbovu utadhani ni shamba la mpunga. 😂😂😂
Kama vipi waandamane tu Gachagua amesharudi😂Wakiona Tanzania inashirika AFCON 2025 halafu wao hawashiriki makasiriko ndo yanazidi. 😂😂😂
Kituo kinacho fuata ni kulalamika bei ya unga. 😂😂😂
KunyaSLUMSMost of your city ni informal settlements that lacks most basic things.
Uko na shida ya low self-esteem na low confidence,any challenge unakimbilia slums tu kujifariji,huna lingine.
Uko na shida ya low self-esteem na low confidence,any challenge unakimbilia slums tu kujifariji,huna lingine.
Huo wimbo wa 'low self-esteem na low confidence' kwa sasa umepitwa na wakati, tafuta wimbo mwingine😂Uko na shida ya low self-esteem na low confidence,any challenge unakimbilia slums tu kujifariji,huna lingine.
🤣🤣🤣Uko na shida ya low self-esteem na low confidence,any challenge unakimbilia slums tu kujifariji,huna lingine.
🤣🤣🤣🤣 .Huo wimbo wa 'low self-esteem na low confidence' kwa sasa umepitwa na wakati, tafuta wimbo mwingine😂
Cc: Mimi Wewe Yule
Mechi yao ya jana ilikuwa na matokeo matatu pia, kenya kufungwa, kenya kutolewa au kenya kutofuzu.Ushamba kwenye sports unawasumbua. Football ni burudani siyo vita. Ipo na matokeo matatu. Na kwa mchezo wa jana ilikuwa na matokeo mawili tu.
Kama hamyapendi ma slums si muyavunje alafu muone familia zitakazokaa mtaani zikiwa homeless, robo tatu (¾) ya wakazi wa nairobi hasa wakenya weusi ni slum dwellers, ndo mana mna mahasira muda wote. Hata wewe uliyeandika hapa kwa asilimia kubwa ni slum dweller.Uko na shida ya low self-esteem na low confidence,any challenge unakimbilia slums tu kujifariji,huna lingine.
🤣🤣🤣🤣🤣Umeshinda
Tulitegemea dar es salaam yenye population ya over 7mil ambao hawajasoma na ni maskini wa kutupwa ndo wangekuwa wanaongiza kwa kuwa nyumba za bati zisizokuwa na sewage system za kueleweka ila Kenya yenye gdp kubwa ndo inaongoza duniani🤣🤣🌽Umeshinda