Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kinachokusumbua ni ukosefu wa Exposure.

TaifaSheria/Asili ya SEZMwaka wa KuanzishaMaelezo Mengine
TanzaniaEPZ (2002), SEZ (2006), Mini-Tiger Plan (2005–2020)2005 kuanzia utekelezaji; 2007 EPZA kuanza kaziMkapa SEZ ndiyo ya kwanza kufanyika
KenyaSEZ Act 2015Sheria ikaanza kazi Desemba 15, 2015SEZA inaleta muundo wa udhibiti mpya
Sasa hivi tumeunganisha authorities za EPZ na SEZ na kuwa moja.
 
DSM.
IMG_0424.jpeg
IMG_0430.jpeg
IMG_0427.jpeg
IMG_0426.jpeg
IMG_0425.jpeg
 
Mbona unaandika ujinga kaka? Unatutia aibu
Mkuu angalia wenzetu ulaya wanavyofanya kwenye rankings, ukiambiwa timu ni bora barani ulaya kwa sasa ujue hiyo bora kweli, wanatumia vigezo mtambuka, vigezo vya sasa, na sio kutumia idadi ya points za miaka iliyopita, yani kwa vigezo vya CAF Al Ahly ataendelea kuwa namba moja Africa hata kama atashuka daraja na akacheza daraja la pili kwa misimu miwili, tunatakiwa kutumia vigezo vya sasa, mm ni shabiki wa Simba lkn nakubali rankings za IFFHS kuliko za CAF kwasababu zinaakisi ukweli kwamba Pyramids ndiyo team bora kwa sasa barani Africa na Yanga ni bora kuliko Simba, au wewe mwenzangu unakataa kwamba Pyramids ndiyo team bora kwa sasa? Au unakataa kwamba Yanga ni bora kuliko Simba kwa sasa?
 
Hawa IFFHS wapo sahihi sana katika rankings, ni kama zile za ulaya. Rankings zinatakiwa kuakisi mafanikio ya timu kwa mwaka husika, tofauti na hizi rankings za CAF ambazo hazinaga ukweli wowote. Yani ukitumia utaratibu wa CAF ku ranks clubs utagundua kwamba ahly ataendelea kuwa namba 1 Africa hata kama atashuka daraja kwa misimu miwili (irrelevant).
IFFHS ranking zao hazina uhalisia a team from a weak league ikiwa inashinda sana huko kwao kwenye ligi mbovu unaweza ikaibuka kinara kwenye ranking za IFFHS lakini haimaanishi ni timu bora ila ranking za CAF zinapima ubora wa timu across Africa kwa kupambana na timu nyingine bora toka nchi mbali mbli za Africa hivyo huwa kipimo sahii cha ubora.
 
IFFHS ranking zao hazina uhalisia a team from a weak league ikiwa inashinda sana huko kwao kwenye ligi mbovu unaweza ikaibuka kinara kwenye ranking za IFFHS lakini haimaanishi ni timu bora ila ranking za CAF zinapima ubora wa timu across Africa kwa kupambana na timu nyingine bora toka nchi mbali mbli za Africa hivyo huwa kipimo sahii cha ubora.
Sio kweli unachokisema mkuu, niambie ni team gani imependelewa apo kwenye rankings za IFFHS? CAF ndiyo wanatakiwa wabadili utaratibu wao wa ku rank teams, huwezi kutumia history ku rank teams ni ujinga mkuu.
 
yuko sahihi kaka ukiangalia rating za CAF ni kama zipo kwa ajili ya ku favour team fulani alaf hata muundo wao wakuongeza alama ni wakishamba sana tofaut na uefa au fifa wanavofanya yani kwa kifupi africa tunamatatizo makubwa sana
Huwezi ukatumia points za miaka minne iliyopita ku rank ubora wa timu mwaka huu ni ujinga.
 
Brother CAF na FIFA ndio wanaoweka Ranking. Na ranking process inajulikana imeelezwa

Soma formula hii hapa:

Sasa hao unaowataja, tupatie ranking formula yao, na wamepata mamlaka kutoka wapi kuweka ranking.
FIFA wanajulikana the way wana rank timu bora, hata leo hii zikitoka takwimu za ubora kutoka FIFA wengi wetu huwa tunazikubali mana kwa asilimia kubwa huwa zina reflect uhalisia, lkn huku Africa ni ujinga mkuu, huwezi kuniambia eti currently Mamelody ni bora kuliko pyramids, ni ujinga. Mm Simba lkn huwezi kuniambia eti Simba ni bora kuliko Yanga kwa ss, pia ni ujinga na hatuwezi kuendelea kwa style hii mkuu, wazungu walikubali kuachana na unafki wa aina hii ndiyo mana waliendelea.
 
Back
Top Bottom