Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
So that American Youtuber thinks Mukuru kwa Njenga in Nairobi looks like some place Atlanta?😂😎🤣Yes in fact. Multiple times...
Cc: Mimi Wewe Yule
So that American Youtuber thinks Mukuru kwa Njenga in Nairobi looks like some place Atlanta?😂😎🤣Yes in fact. Multiple times...
travel agency ya kenya wanayotoa watalii wakikenya kutoka nairobi kuwaleta arusha kutembea
kitu nimefurahi instead of using their nganya wanatumia kwa kukodi mini bus from tanzania 😂😂😂😂
nganya oyeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DMk8nuwN_v0/?igsh=MW1ydnA2cWY3cTM1cg==
Sasa hivi tumeunganisha authorities za EPZ na SEZ na kuwa moja.Kinachokusumbua ni ukosefu wa Exposure.
Taifa Sheria/Asili ya SEZ Mwaka wa Kuanzisha Maelezo Mengine Tanzania EPZ (2002), SEZ (2006), Mini-Tiger Plan (2005–2020) 2005 kuanzia utekelezaji; 2007 EPZA kuanza kazi Mkapa SEZ ndiyo ya kwanza kufanyika Kenya SEZ Act 2015 Sheria ikaanza kazi Desemba 15, 2015 SEZA inaleta muundo wa udhibiti mpya
EPZA na TIC ndio zimeungana tukapata - Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority(TISEZA)Sasa hivi tumeunganisha authorities za EPZ na SEZ na kuwa moja.
yaani umemvua nguo kabaki na chupi 🤣🤣🤣
correctEPZA na TIC ndio zimeungana tukapata - Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority(TISEZA)
TISEZA | Home
Tanzania Investment Centre (TIC) | Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)www.tiseza.go.tz
Yani Tanzania unga ya Ugali bado unapimwa kama makaa?🤣🤣😂😂
I can't remember the last time I saw a maize flour ukipimwa hivo Kenya.
View: https://x.com/CaptainDominicO/status/1955877806266540528?t=vJNivmKp_bI0bR7GE86Mmg&s=19
Mkuu angalia wenzetu ulaya wanavyofanya kwenye rankings, ukiambiwa timu ni bora barani ulaya kwa sasa ujue hiyo bora kweli, wanatumia vigezo mtambuka, vigezo vya sasa, na sio kutumia idadi ya points za miaka iliyopita, yani kwa vigezo vya CAF Al Ahly ataendelea kuwa namba moja Africa hata kama atashuka daraja na akacheza daraja la pili kwa misimu miwili, tunatakiwa kutumia vigezo vya sasa, mm ni shabiki wa Simba lkn nakubali rankings za IFFHS kuliko za CAF kwasababu zinaakisi ukweli kwamba Pyramids ndiyo team bora kwa sasa barani Africa na Yanga ni bora kuliko Simba, au wewe mwenzangu unakataa kwamba Pyramids ndiyo team bora kwa sasa? Au unakataa kwamba Yanga ni bora kuliko Simba kwa sasa?Mbona unaandika ujinga kaka? Unatutia aibu
Oooh, sikuwa najua mkuu, vinafanana.Talanta kizee
IFFHS ranking zao hazina uhalisia a team from a weak league ikiwa inashinda sana huko kwao kwenye ligi mbovu unaweza ikaibuka kinara kwenye ranking za IFFHS lakini haimaanishi ni timu bora ila ranking za CAF zinapima ubora wa timu across Africa kwa kupambana na timu nyingine bora toka nchi mbali mbli za Africa hivyo huwa kipimo sahii cha ubora.Hawa IFFHS wapo sahihi sana katika rankings, ni kama zile za ulaya. Rankings zinatakiwa kuakisi mafanikio ya timu kwa mwaka husika, tofauti na hizi rankings za CAF ambazo hazinaga ukweli wowote. Yani ukitumia utaratibu wa CAF ku ranks clubs utagundua kwamba ahly ataendelea kuwa namba 1 Africa hata kama atashuka daraja kwa misimu miwili (irrelevant).
pambaneni acheni visingizio.yap mara nyingi CAF ranking zao zimekaa kwa ajili ya ku favour team zao 👍👍
Kwanini wakenya wanaishi hivi? Mimi kabla ya kujiunga kwenye huu uzi nilikuwa najua Kenya wana maisha mazuri.Low IQ na uwezo mdogo wa kufikiri maana kwa mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri huwezi fanya huu uchafu. 😂😂😂
www.facebook.com
Sio kweli unachokisema mkuu, niambie ni team gani imependelewa apo kwenye rankings za IFFHS? CAF ndiyo wanatakiwa wabadili utaratibu wao wa ku rank teams, huwezi kutumia history ku rank teams ni ujinga mkuu.IFFHS ranking zao hazina uhalisia a team from a weak league ikiwa inashinda sana huko kwao kwenye ligi mbovu unaweza ikaibuka kinara kwenye ranking za IFFHS lakini haimaanishi ni timu bora ila ranking za CAF zinapima ubora wa timu across Africa kwa kupambana na timu nyingine bora toka nchi mbali mbli za Africa hivyo huwa kipimo sahii cha ubora.
Huwezi ukatumia points za miaka minne iliyopita ku rank ubora wa timu mwaka huu ni ujinga.yuko sahihi kaka ukiangalia rating za CAF ni kama zipo kwa ajili ya ku favour team fulani alaf hata muundo wao wakuongeza alama ni wakishamba sana tofaut na uefa au fifa wanavofanya yani kwa kifupi africa tunamatatizo makubwa sana
FIFA wanajulikana the way wana rank timu bora, hata leo hii zikitoka takwimu za ubora kutoka FIFA wengi wetu huwa tunazikubali mana kwa asilimia kubwa huwa zina reflect uhalisia, lkn huku Africa ni ujinga mkuu, huwezi kuniambia eti currently Mamelody ni bora kuliko pyramids, ni ujinga. Mm Simba lkn huwezi kuniambia eti Simba ni bora kuliko Yanga kwa ss, pia ni ujinga na hatuwezi kuendelea kwa style hii mkuu, wazungu walikubali kuachana na unafki wa aina hii ndiyo mana waliendelea.Brother CAF na FIFA ndio wanaoweka Ranking. Na ranking process inajulikana imeelezwa
Soma formula hii hapa:
![]()
Caf announces new club ranking formula
The Confederation of African Football (CAF) says, effective 2012, a new point system will be used to rank clubs on the continent as the sport body rejects an Af...www.ghanafa.org
Sasa hao unaowataja, tupatie ranking formula yao, na wamepata mamlaka kutoka wapi kuweka ranking.