Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa IFFHS wapo sahihi sana katika rankings, ni kama zile za ulaya. Rankings zinatakiwa kuakisi mafanikio ya timu kwa mwaka husika, tofauti na hizi rankings za CAF ambazo hazinaga ukweli wowote. Yani ukitumia utaratibu wa CAF ku ranks clubs utagundua kwamba ahly ataendelea kuwa namba 1 Africa hata kama atashuka daraja kwa misimu miwili (irrelevant).
IFFHS ndio kitu gani hicho? Wanasimamia michezo gani? Hizo rank unazozikataa za CAF ndio za FIFA

Pitia hapa acha uzembe

 
If it’s a Somali event, why not?.. it’s honoring their roots, same way we Kenyans ( American citizens) wave Kenyan flags during Rugby sevens in Vegas in support of our roots ( that includes our American born kids who don’t even speak any Kenyan language).
So, those are Kenyans, Somalis, Refugees, Investors or expats??
 

View: https://vm.tiktok.com/ZNdQ7Bu7X/ kunyan wengi hawaijui Tanzania zaidi ya kukaririshwa,wengi wanadai hapo ni south africa,baada ya kuambiwa hapo ni mkapa stadium nyuso zimewashuka 😂😂

Na tukiwaambia wakenya hawafuatilii Tanzania mnapinga. Kama national stadium ya Tanzania pekee ndio hawajui, do you think wanajua hata Tanzanian capital city kweli?

Kule Vumbistan hadi mtoto wa Chekechea anajua every MCAs in Kenya.
 
Back
Top Bottom