Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mnafanya SEZ?..😁😁… I wonder where you got the idea from..🤪🤪
Kinachokusumbua ni ukosefu wa Exposure.

TaifaSheria/Asili ya SEZMwaka wa KuanzishaMaelezo Mengine
TanzaniaEPZ (2002), SEZ (2006), Mini-Tiger Plan (2005–2020)2005 kuanzia utekelezaji; 2007 EPZA kuanza kaziMkapa SEZ ndiyo ya kwanza kufanyika
KenyaSEZ Act 2015Sheria ikaanza kazi Desemba 15, 2015SEZA inaleta muundo wa udhibiti mpya
 
I am not being critical but I find it very ironic how you guys are critical of western culture and accuse Kenyans of “kujifanya wazungu” yet hereby is an event that is 💯 westernized hata DJ couldn’t play a local song 🤣🤣🤣, then tomorrow utasikia a Bongolala saying Wakenya wanajifanya Wazungu…hamna msimamo 😁😁
Katika Uajemi ya kale (karne ya 5 KK), Mfalme Ahasuero (Xerxes I) aliandaa kile ambacho leo tunaweza kukifananisha na mashindano ya urembo ili kuchagua malkia mpya baada ya kuondolewa kwa Malkia Vashti.

Elimu huna kijana.
 
foleni hio boda ya mutukula tanzania and uganda magari yanayotoka tanzania kuingia uganda foleni ni kubwa over 3km

aise nimefurah sana kuona mizigo sasa inapitia bandari ya dar kwenda uganda kwa wingi kiasi hichi am so happy sasa tunagawana ile cake ya uganda
View attachment 3439177
Kaka usiwashtue hao malazy wa north,acha waendelee kukariri
 
Back
Top Bottom