Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,753
Wazee wa vitu juakali. Makofi tafadhali jua kali oyeee
View: https://www.facebook.com/share/p/1CFVEQKSvG/
Wazee wa ukora!
Wazee wa vitu juakali. Makofi tafadhali jua kali oyeee
View: https://www.facebook.com/share/p/1CFVEQKSvG/
Hata niandikie Kifaransa bado hutajuwa what amphitheatre is you illiterate fool.Andika KIJALUO nielewe.
Hizi fines zinawafanya profits walizotegemea as co host wa hii competition iwe zero
View: https://x.com/LarryMadowo/status/1955536998518731008?t=QWAGh7i8EQTZ-76D2JFNTA&s=19
Anyway, hapo hizo ni pelvings mmelaza, nothing specialHata niandikie Kifaransa bado hutajuwa what amphitheatre is you illiterate fool.
Tanzania Miss Grand. Watoto watamu hawa, wanatufanye akili zetu zitulie tusiwaze maandamano
View: https://youtu.be/BXtnn16WgtU?si=RbyRk3OoOS-YBwmd
Hawa wakipewa fainals za Afcon sijui labda wawe wamehonga! Kumbuka 2027 utakuwa mwaka wa uchaguzi!Ebu niambie tulitegemea profit ya ngapi?
Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA)
- Nala SEZ – 21 km from Dodoma City, covering 607 hectares and 259 plots.
- Kwala SEZ – Pwani Region.
- Buzwagi SEZ – Shinyanga Region.
- Bagamoyo Eco Maritime City – Pwani Region.
- Expansion of Benjamin William Mkapa SEZ – Dar es Salaam.
View: https://www.instagram.com/p/DNRYQp_NjTq/?img_index=1
View: https://www.youtube.com/live/S8X_bnLDtig?si=caaaIl2uPSVaklj-
Kumbe suala la SEZ limeanzishwa na wakenya na hatujui.? 🤣🤣🤣Sasa mnafanya SEZ?..😁😁… I wonder where you got the idea from..🤪🤪
Kinachokusumbua ni ukosefu wa Exposure.Sasa mnafanya SEZ?..😁😁… I wonder where you got the idea from..🤪🤪
| Taifa | Sheria/Asili ya SEZ | Mwaka wa Kuanzisha | Maelezo Mengine |
|---|---|---|---|
| Tanzania | EPZ (2002), SEZ (2006), Mini-Tiger Plan (2005–2020) | 2005 kuanzia utekelezaji; 2007 EPZA kuanza kazi | Mkapa SEZ ndiyo ya kwanza kufanyika |
| Kenya | SEZ Act 2015 | Sheria ikaanza kazi Desemba 15, 2015 | SEZA inaleta muundo wa udhibiti mpya |
Katika Uajemi ya kale (karne ya 5 KK), Mfalme Ahasuero (Xerxes I) aliandaa kile ambacho leo tunaweza kukifananisha na mashindano ya urembo ili kuchagua malkia mpya baada ya kuondolewa kwa Malkia Vashti.I am not being critical but I find it very ironic how you guys are critical of western culture and accuse Kenyans of “kujifanya wazungu” yet hereby is an event that is 💯 westernized hata DJ couldn’t play a local song 🤣🤣🤣, then tomorrow utasikia a Bongolala saying Wakenya wanajifanya Wazungu…hamna msimamo 😁😁
Sasa mnafanya SEZ?..😁😁… I wonder where you got the idea from..🤪🤪
| Nchi | Sheria ya SEZ | Mwaka iliyopitishwa |
|---|---|---|
| Tanzania | Act No. 2 ya 2006 | 26 Machi 2006 (saini), chapishwa 14 Aprili 2006 |
| Kenya | Act No. 16 ya 2015 | 11 Septemba 2015 (saini), chapishwa Septemba 2015 |
Don’t take me out of context.. to put it in other words, we never invented affordable housing or SGR either… you get my point …🤣🤣🤣Kumbe suala la SEZ limeanzishwa na wakenya na hatujui.? 🤣🤣🤣