Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakundustan wanazidi kukimbiwa, nakumbuka the entire coast tourism belt of Kunyaland ilikua dominated na Italians, most properties were owned by the Italian tycoons lakini now all abandoned, cha ajabu utashangaa watafake data waoneshe walipokea watalii wengi na mapato mengi


View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1954464966162977093?t=_sNzpYFaOvke3QyRs49Zwg&s=19

Meanwhile in Mombasa

View: https://vm.tiktok.com/ZMAeYTchq/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: https://www.tiktok.com/tiktoklite
 
TZ practises state capitalism with free market economy.

That's why the economy belongs to the people.


Ninyi wazee wa kuokota okota, Somalis, Wazungus, Wahindi, Wachina, Waarabu.

Mpaka mashamba wao ndio walime.
Ati state capitalism?… ok . Good luck chilling as an LDC for eternity. Private sector builds wealth not government. Government is there to create an enabling environment.
 
Watu watakucheka sana. Kijana 🤣 🤣 🤣 🤣
Katika mwaka wa 2023, Kenya ilizalisha jumla ya tani 556,653 za nyama

Tanzania, kwa mwaka 2023, nchi ilizalisha tani 805,000 za nyama



Source:

Production is not consumption kilaza..,
 
It's summertime abroad, of course primary school dropout huwezi jua.
How do you expect bongolalas to know that tourism is seasonal? Kwamba tourists only come when it's winter in their country na kwamba msimu wa joto kama sasa, watalii hawapo?

Nimeona comments zao hapo juu nikabaki kucheka tu! Should we also remind them that some tourist hotels even close down during off-season?😂😂
 
Meat and Milk consumption is highest in Kenya in all East Africa! Nyie watu wa maharage na mihogo mambo ya nyama wachia wenyewe.,
Kenya meat commission abatuer.,
View attachment 3439160
View attachment 3439161
Screenshot_20250812-203438.png

Tena hapo ndio mmepika data
 
Siku hizi ligi ya Tanzania inanunua wachezaji wengi toka North African clubs hasa Tunisia, Algeria and Morocco. Hii inaonesha msuli wa hela.
 
Back
Top Bottom