Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Production is not consumption kilaza..,Watu watakucheka sana. Kijana 🤣 🤣 🤣 🤣
Katika mwaka wa 2023, Kenya ilizalisha jumla ya tani 556,653 za nyama
Tanzania, kwa mwaka 2023, nchi ilizalisha tani 805,000 za nyama
Source:
![]()
Kenya's meat production soars to Sh305 billion in 2023, driven by rising demand | The Eastleigh Voice
The country produced 556,653 metric tonnes of meat in 2023, marking a 19.8 per cent increase from the 464,512 metric tonnes produced in 2022.eastleighvoice.co.ke