President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Bado Tanzania hatuna no. 6. But sehemu zingine zote tumekamilika. Hamza yupo slow hawezi cheza no 6kagoma sio mchezaji wa kutumainiwa tena atakuja kui cost sana simba ana ule uchezaji wakizamani