Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
Kagoma asingecheza yupo na Yellow card mbili. Ukiwa na Yellow cards mbili. Huchezi mchezo mmoja.Shida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.
Mechi ya Leo ilimuhitaji Kagoma kwa Vyovyote vile.
Hakuna Mchezaji wa Simba ww utamkubari hata post zako humu Ikihusisha Michezo ni Uyanga
Kuna muda Unajaribu Kuipa Ukubwa Yanga Hata Haiustahili kabisa
Sijui kwanini hajamuita Kibu. Kuna wakati alimuacha Kapombe. Kila namba inatakiwa iwe na watu wawili.Namba 6, siyo lazima atoke Yanga.
Kuna Nashon, Mtasingwa, Kagoma.
Sasa Morocco anaona kumchezesha Hamza kama namba 6, ambaye kiuhalisia ni beki wa kati ndio akili.
Morocco ni kocha wa ovyo.
Aliwahi kukosana na Job kwa kumlazimisha acheze Beki wa kulia, wakati Job ni beki wa kati.
Aliwahi kumchezesha Kibabage kama Winga wakati Kibabage ni Beki wa kushoto.
Morocco siyo kocha ni mhuni tu.
Hata Mzize alimwita baada ya kelele za watu.
Anaita wachezaji hana hata SUB, akishaweka wachezaji 11 amemaliza.
Kundudwellers bhana. Nyie huko Kibera hakuna TV. Tanzania invested too much in digital economy. Kenya invested in mouth economy. Accept the difference.
Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200mDoes any of those port you've mentioned have a quay length of 1200 meters? Tanga haina hata STS Gantry crane hata moja.
😂😂😂😂😂 shida yetu sisi hatupendi ukweli ila kagoma ni mchezaji wa kawaida sana tena ni no 6 wale wakizamani wakuingia uvunguni muda woteShida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.
Mechi ya Leo ilimuhitaji Kagoma kwa Vyovyote vile.
Hakuna Mchezaji wa Simba ww utamkubari hata post zako humu Ikihusisha Michezo ni Uyanga
Kuna muda Unajaribu Kuipa Ukubwa Yanga Hata Haiustahili kabisa
Bora kwa lipi? Ama kukwama msituni?Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200m
Mtwara has 2 berths with Quay length of 685meters
Tanga is smaller than Mtwara with 2 berth Quay of 450m
Mtwara in Ship to Shore Crane moja
Tanga is still undergoing major expansion kupokea meli za mafuta
Mtwara will get a another new berth that will be used specfic for Coal handling
Mmetangulia kwa Lamu kuwa na 400m per berth expect Bagamoyo to do that soon it is poised to have bigger berths than Dar or Mtwara
Si unaona SGR mlitangulia ila yetu ni bora zaidi
ilikuwa ni intially sikuhizi umesikia any news umeme umetrip?Bora kwa lipi? Ama kukwama msituni?
What about this? Tanzania pia ingekuja na mashabiki zao?Madagasca na Mauritania wangekuja na mashabiki zao, kama hujui how the football works, nyamaza
It’s not about electricity but mechanical issues. You bought second hand trains.ilikuwa ni intially sikuhizi umesikia any news umeme umetrip?
Better Locomotives
Better energy usage
Cheap to run
Enviromental friendly
More efficent
Fast can do more trips per day