Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Konza City coming up nicely
Kila mtu acheze mechi zake 😁
eti wameshtuka leo 😂😂😂🙌🏻🙌🏻
ruto ur the best
View: https://x.com/mainneli_/status/1954050338748871044?s=46
Mkenya siku zote ni Mpumbavu! Usiogopeshwe na facade ya majigambo!Money is being deducted from their salaries then channelled to the bank that Ruto owns to fund housing program then houses sold at Market prices with profit accruing to Ruto's owned bank. What an ingenious way to still from a bunch of stupid people
Shida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.hamza hawezi wala kagoma hawezi the only one can play no 6 ni dickson job
Namba 6, siyo lazima atoke Yanga.Shida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.
Mechi ya Leo ilimuhitaji Kagoma kwa Vyovyote vile.
Hakuna Mchezaji wa Simba ww utamkubari hata post zako humu Ikihusisha Michezo ni Uyanga
Kuna muda Unajaribu Kuipa Ukubwa Yanga Hata Haiustahili kabisa
Kagoma asingecheza yupo na Yellow card mbili. Ukiwa na Yellow cards mbili. Huchezi mchezo mmoja.Shida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.
Mechi ya Leo ilimuhitaji Kagoma kwa Vyovyote vile.
Hakuna Mchezaji wa Simba ww utamkubari hata post zako humu Ikihusisha Michezo ni Uyanga
Kuna muda Unajaribu Kuipa Ukubwa Yanga Hata Haiustahili kabisa
Sijui kwanini hajamuita Kibu. Kuna wakati alimuacha Kapombe. Kila namba inatakiwa iwe na watu wawili.Namba 6, siyo lazima atoke Yanga.
Kuna Nashon, Mtasingwa, Kagoma.
Sasa Morocco anaona kumchezesha Hamza kama namba 6, ambaye kiuhalisia ni beki wa kati ndio akili.
Morocco ni kocha wa ovyo.
Aliwahi kukosana na Job kwa kumlazimisha acheze Beki wa kulia, wakati Job ni beki wa kati.
Aliwahi kumchezesha Kibabage kama Winga wakati Kibabage ni Beki wa kushoto.
Morocco siyo kocha ni mhuni tu.
Hata Mzize alimwita baada ya kelele za watu.
Anaita wachezaji hana hata SUB, akishaweka wachezaji 11 amemaliza.
Kundudwellers bhana. Nyie huko Kibera hakuna TV. Tanzania invested too much in digital economy. Kenya invested in mouth economy. Accept the difference.
Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200mDoes any of those port you've mentioned have a quay length of 1200 meters? Tanga haina hata STS Gantry crane hata moja.
😂😂😂😂😂 shida yetu sisi hatupendi ukweli ila kagoma ni mchezaji wa kawaida sana tena ni no 6 wale wakizamani wakuingia uvunguni muda woteShida yako ww naye Umejawa na Uyanga sana.
Mechi ya Leo ilimuhitaji Kagoma kwa Vyovyote vile.
Hakuna Mchezaji wa Simba ww utamkubari hata post zako humu Ikihusisha Michezo ni Uyanga
Kuna muda Unajaribu Kuipa Ukubwa Yanga Hata Haiustahili kabisa