Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nikiwa kama mwenyekiti haya nyie wakenya hapa mada ni dar vs nairobi huo upuuzi wenu wakuvunja mageti na kujaza uwanja munatujazia thread mupeleke huko kwenye magroup ya triblalism hapa tuongelee maendeleo ya miji hii miwili

hii ni battle ya dar vs nai huo ujinga wenu pelekeni huko ng'ombe hizi

munakua kama wanawake matasa walioshika mimba ukubwani muda wote wanataka kupigwa ukuni tu
Sasa wewe unaumia kwa nini na Yemen Taifa lako haina hata national football team?
 
Nakushangaa unalazimisha mtu ambaye hajaumia aumie, huoni una matatizo ya akili?
Mgumba kupata mimba na kutema mate ovyo mtaa mzima ndo utake kulazimisha watu waumie!
View attachment 3437682
Screenshot 2025-08-10 183759.png
 
Nimemuuliza according to akili yake ya umatako washawai shinda game ya world cup bila kushiriki. 🤣
Huu mjadala nishaumaliza siendekezi mjadala wa kisenge.
Wacheni ubishi wa kikuma.
Hiyo world cup yenyewe ina stage zake ikiwemo hiyo preliminary stage ama qualification stages.
Kuanzia group stage hadi final match huitwa final stages.
Endeleeni na ubishi wenu wa kikuma.
 
Huu mjadala nishaumaliza siendekezi mjadala wa kisenge.
Wacheni ubishi wa kikuma.
Hiyo world cup yenyewe ina stage zake ikiwemo hiyo preliminary stage ama qualification stages.
Kuanzia group stage hadi final match huitwa final stages.
Endeleeni na ubishi wenu wa kikuma.
So how many World cups has Tanganyika participated in based on this argument?
 
Huu mjadala nishaumaliza siendekezi mjadala wa kisenge.
Wacheni ubishi wa kikuma.
Hiyo world cup yenyewe ina stage zake ikiwemo hiyo preliminary stage ama qualification stages.
Kuanzia group stage hadi final match huitwa final stages.
Endeleeni na ubishi wenu wa kikuma.
Jibu swali, mshawai shinda game ya World Cup au la?
 
Sawa. Kwa hivo pia mshaashinda game ya world cup kisa mmewai shinda qualification match ya world cup? According to your low thinking capacity Bongolala has won a world cup match without ever qualifying for world cup? Wewe mwalimu wako wa chekechea hakukutandika vizuri. šŸ˜€ šŸ˜€
That quack hua na IQ ya panya. Piga ua hio panya. 🤣🤣🤣
 
Hata mie nashangaa kwa quality ipi uiogope Harambe stars kiasi hicho?
Mpira wote tumeona labda naweza kusema Kocha ndio anaibeba timu ila sio uchezaji wa players.
Sijaona forward ya kumpita Ibrahim Bacca wala Shomari Kapombe pale wala Dickson Job.
Sijaona kiungo wa kati wa kumzia Mudathir Yahya pale tena kwa Feisal Salum ndio kabisaa wanatepeta hawa.
Hujui mpira. 🚮 🚮 🚮

Style play ya Benny McCathy ni ushambuliaji na wakati malofa wako wao ni defensive na timu ikifunga ni goli moja labda ikutane na timu za hovyo kama Lesotho/Swaziland na Madagascar ndio timu pekee wale makocha wahovyo wameregister 2 goals. Tangu Benny achukue timu, inafunga kila mechi irrespective wamekutana na nani. Mechi ya pili na red card na wanafunga na mechi inaisha bila kupoteza.

Hata uwe na wachezaji wa aina gani, kama makocha ni viwete kama tulionao, subiri uone. Ndio maana hakuna mtu anajishughulisha kwenda uwanjani.🚮
 
Kenya hamuna beki kama Dickson Job,Shomari Kapombe, Ibrahim Bacca. Sijaona kiungo wa kati kama Kelvin Nashon au kama Feisal Salum au kama Mudathir Yahya.
Kenya bado kukamia kwenu ni sawa na Stellenbosch kumfunga Zamalek akijisifu anajua mpira akaja kukutana na Berkane akafa goli 5.
Hamuna quality hiyo bado na kukamia huko.
Ati Dickson Job na Kelvin Nashon ?….. na Mnasema Wakenya wanajifanya Wazungu … Oh Lord have mercy !..🤣🤣🤣
 
Haijalishi lakini kufuzu imefuzušŸ˜Ž
Your grim reaper is Morocco šŸ‡²šŸ‡¦. Since they will be second in our group, they are coming to Mkapa . That will be your demise. Just like when Argentina lost to Saudi Arabia, don’t be surprised the Atlas Lions going all the way to the Finals ( hopefully we meet them again)..
 
Back
Top Bottom