Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
What!? 600m against 51m!?Mambo ndio hio…
View attachment 3437738
What!? 600m against 51m!?Mambo ndio hio…
View attachment 3437738
Watu wako busy na wahunii huku wa uchaguzii ndio maana unaona hvi chan is not a trending topic kwa sasa Tanzania, kwaiyo ata msukumo wa kufatilia sio mkubwa kivile zaidi ya hapo ni wakati wenu kunga'aa na kutrend
They will face either Morocco, South Africa or Nigeria😂😂😂The good news we will face the team behind Taifa Stars .. tutafunga tatu minimum on the way to Semi. Meanwhile Taifa Stars will face Morocco… 🪦 R.I.P… 🤣🤣
Tumeonyesha dunia mzima that we deserve to host AFCON pekee yetu.Nyayo stadium. Zambia vs Angola
View attachment 3437709
Excuse galore😂😂😂.Watu wako busy na wahunii huku wa uchaguzii ndio maana unaona hvi chan is not a trending topic kwa sasa Tanzania, kwaiyo ata msukumo wa kufatilia sio mkubwa kivile zaidi ya hapo ni wakati wenu kunga'aa na kutrend
Kujeni muone.... excuses from the footballing nation zishaanza kuingia! 😂😂😂😂Watu wako busy na wahunii huku wa uchaguzii ndio maana unaona hvi chan is not a trending topic kwa sasa Tanzania, kwaiyo ata msukumo wa kufatilia sio mkubwa kivile zaidi ya hapo ni wakati wenu kunga'aa na kutrend
Hapa mitanganyika yanatoboa kweli?They will face either Morocco, South Africa or Nigeria😂😂😂
Kwa kweli sidhani kama Gachagua amefurahia leo kuona wajaluo wengi kwenye hilo litimu lenu😎Hapa mitanganyika yanatoboa kweli?
Sisi tumefurahi. 😎Kwa kweli sidhani kama Gachagua amefurahia leo kuona wajaluo wengi kwenye hilo litimu lenu😎
Lakini sidhani kama Gachagua amefurahi😎Sisi tumefurahi. 😎
They dominate Kenya's football because it's their God-given talent. Just the same way Kalenjins dominate athletics because it's their talent. Unaumia ukiwa Tandale ama Buguruni?Kwa kweli sidhani kama Gachagua amefurahia leo kuona wajaluo wengi kwenye hilo litimu lenu😎
Sio excuse bali ndio ukweli jaribu kufuatilia na kuchunguza kwenye mpira tushajitoa huko japo timu yetu ina performs vizuri ila hawazungmziwii sanaaExcuse galore😂😂😂.
Siumii hata kidogo, nimesema Gachagua kwani hujui kusoma?They dominate Kenya's football because it's their God-given talent. Just the same way Kalenjins dominate athletics because it's their talent. Unaumia ukiwa Tandale ama Buguruni?
Gachagua hajafurahi bana.They dominate Kenya's football because it's their God-given talent. Just the same way Kalenjins dominate athletics because it's their talent. Unaumia ukiwa Tandale ama Buguruni?