Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waarabu wanaona siku ndefu Santa wakikutana na Kenya. Wataanza kutoka wazimu wakisikia Hilo jina Kenya
Screenshot_20250810-201501.jpg
 
Watu wako busy na wahunii huku wa uchaguzii ndio maana unaona hvi chan is not a trending topic kwa sasa Tanzania, kwaiyo ata msukumo wa kufatilia sio mkubwa kivile zaidi ya hapo ni wakati wenu kunga'aa na kutrend
Kujeni muone.... excuses from the footballing nation zishaanza kuingia! 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom