NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Wasifike semis. Mimi hata sitaki tukutane nao Kasa. Nataka tuchezee Namboole UG ndio wasiseme tulikuwa na home advantage. Ama tuwacharaze kwao pale Makwapa.🤣 🤣 🤣Hawa tutachinja asubuhi na mapema. Naomba Tu tuwashike Quarter finals pale Kasarani 🤣🤣