Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Habari yenu mitanganyika
FB_IMG_1754838009081.jpg
 
This is football. The atmosphere is electric. Wakenya wanajua kushangilia, hata after CAF banned celebration items bado tumesababisha. Bongolala wakicheza utadhani ni mazishi.🤣🤣🤣


View: https://x.com/fufatv1/status/1954540633063903680?t=2RrGSXVyaG-wgCXStbJe4Q&s=19

Since KENYA is a very corrupt country, I'm tempted to think that they may have bribed the Moroccan team coach. Ruto is not someone you can trust when it comes to giving illegal incentives 🤣🤣🤣
 
Hiyo Morocco uliyoifunga leo ikiwa na wachezaji wa ndani sisi tumecheza nayo sana ikiwa na international players na haikufua dafu zaidi ya kusare.
Jipangeni kufikia Tanzania bado wacheni kuota ndoto za mchana.
Excuses.
 
Since KENYA is a very corrupt country, a tempted to think that they may have bribed the Moroccan team coach. Ruto is not some you can trust when it comes to giving illegal incentive 🤣🤣🤣
Tumia Kiswahili mbwa. 😄🤣
 
Mbona msiaidi wenu 1M ya madafu? Si huwa mnajiita matajiri wa Istiafirika? 🤣 🤣
Hiyo pesa ndogo sana kwa Wachezaji TZ.

Haina uwezo wa kumshtua mchezaji TZ.

Unaona huyu Mchezaji, Mzize anapata Ksh 800,000 kila mwezi na bado BONUS, na SIGNING FEE.

Na unaona Esperance wanamtaka kwa $1M, na mshahara hautakuwa chini ya $30,000.

Sasa huwezi kumshtukia kwa posho ya Ksh 1M kwa mechi za CHAN.

20250810_180758.jpg
 
Back
Top Bottom