Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa tutachinja asubuhi na mapema. Naomba Tu tuwashike Quarter finals pale Kasarani 🤣🤣
Wasifike semis. Mimi hata sitaki tukutane nao Kasa. Nataka tuchezee Namboole UG ndio wasiseme tulikuwa na home advantage. Ama tuwacharaze kwao pale Makwapa.🤣 🤣 🤣
 
Usipoelewa hapa naku ignore niendelee na mijadala na watu wazima.View attachment 3437652
Nenda ukalie mbali.
IMG_1569.jpeg
 
This is football. The atmosphere is electric. Wakenya wanajua kushangilia, hata after CAF banned celebration items bado tumesababisha. Bongolala wakicheza utadhani ni mazishi.🤣🤣🤣


View: https://x.com/fufatv1/status/1954540633063903680?t=2RrGSXVyaG-wgCXStbJe4Q&s=19

Since KENYA is a very corrupt country, I'm tempted to think that they may have bribed the Moroccan team coach. Ruto is not someone you can trust when it comes to giving illegal incentives 🤣🤣🤣
 
Hiyo Morocco uliyoifunga leo ikiwa na wachezaji wa ndani sisi tumecheza nayo sana ikiwa na international players na haikufua dafu zaidi ya kusare.
Jipangeni kufikia Tanzania bado wacheni kuota ndoto za mchana.
Excuses.
 
Back
Top Bottom