Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini kwakua Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.

Tuna ligi bora na wachezaji wazuri na tulitakiwa tuwe tunatoa dozi pana sana na sio ushindi wa goli moja na kujilinda. Timu za taifa hazina kocha.
Acha woga ndugu. Hawana mpira wa kuzidi Tanzania hawa nyan'gau. Tofautisha kukamia na viwango vya mpira kwa wachezaji. Kenya ni wanakamia mechi ila siyo timu nzuri. Sianglii matokeo haya kujastify ubora wa timu ya Kenya.
 
Mechi 3
Win 3
Point 9
Kawatambie Somalia sio Tanzania.
Najua unaumwa. Shika hii panadol umeze. 😀 😀 😀
apiifop6i__35317.1499347716.jpg
 
Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini kwakua Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.

Tuna ligi bora na wachezaji wazuri na tulitakiwa tuwe tunatoa dozi pana sana na sio ushindi wa goli moja na kujilinda. Timu za taifa hazina kocha.
Huwa huangalii mpira kaka, kwa ule mpira wa kubutua butua, sema wana kocha lakini hawana wachezaji.
 
Hiyo pesa ndogo sana kwa Wachezaji TZ.

Haina uwezo wa kumshtua mchezaji TZ.

Unaona huyu Mchezaji, Mzize anapata Ksh 800,000 kila mwezi na bado BONUS, na SIGNING FEE.

Na unaona Esperance wanamtaka kwa $1M, na mshahara hautakuwa chini ya $30,000.

Sasa huwezi kumshtukia kwa posho ya Ksh 1M kwa mechi za CHAN.

View attachment 3437679
Sawa, wapeeni 1M pesa za Kenya basi kama madafu ni kidogo 🤣
 
Acha woga ndugu. Hawana mpira wa kuzidi Tanzania hawa nyan'gau. Tofautisha kukamia na viwango vya mpira kwa wachezaji. Kenya ni wanakamia mechi ila siyo timu nzuri. Sianglii matokeo haya kujastify ubora wa timu ya Kenya.
Mimi najua mpira vyema sana na najua nini naongea.
Kundi la Kondoo linalo ongozwa na Simba ni bora kuliko kundi la Simba linalo ongozwa na Ng'ombe.
 
Soma maelezo vizuri kama huelewi nikuletee bandiko lingine.
Mashindo ya AFCON ya preliminary stages na final stages.
Preliminary kuanzia hatua ya kufuzu na finals kuanzia group kwenda kwenye mechi ya fainali.
So based on this argument, how many times therefore has Tanzania qualified for AFCON?
 
You only have Clement Msize , wengine ni swara za serengeti 🤣🤣🤣
Kenya hamuna beki kama Dickson Job,Shomari Kapombe, Ibrahim Bacca. Sijaona kiungo wa kati kama Kelvin Nashon au kama Feisal Salum au kama Mudathir Yahya.
Kenya bado kukamia kwenu ni sawa na Stellenbosch kumfunga Zamalek akijisifu anajua mpira akaja kukutana na Berkane akafa goli 5.
Hamuna quality hiyo bado na kukamia huko.
 
Soma maelezo vizuri kama huelewi nikuletee bandiko lingine.
Mashindo ya AFCON ya preliminary stages na final stages.
Preliminary kuanzia hatua ya kufuzu na finals kuanzia group kwenda kwenye mechi ya fainali.
Sawa. Kwa hivo pia mshaashinda game ya world cup kisa mmewai shinda qualification match ya world cup? According to your low thinking capacity Bongolala has won a world cup match without ever qualifying for world cup? Wewe mwalimu wako wa chekechea hakukutandika vizuri. 😀 😀
 
Back
Top Bottom