Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania has never won any match at AFCON.

That's a fact that you can't dispute.
Usipoelewa hapa naku ignore niendelee na mijadala na watu wazima.
Screenshot_20250810-174143.png
 
Sasa qualification match ni AFCON? Wewe ndio mbugila Sasa!
Soma hiyo ripoti halafu urudi hapa.
Screenshot_20250810-174143.png

Qualification matches ni sawa na preliminary stage matches kutafuta timu za kuingia kwenye hatua ya makundi.
Nazo zinajumlishwa kama mechi za hayo mashindano.
Screenshot_20250810-174143.png
 
Hawa tutachinja asubuhi na mapema. Naomba Tu tuwashike Quarter finals pale Kasarani 🤣🤣
Wasifike semis. Mimi hata sitaki tukutane nao Kasa. Nataka tuchezee Namboole UG ndio wasiseme tulikuwa na home advantage. Ama tuwacharaze kwao pale Makwapa.🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom