Hiyo Morocco uliyoifunga leo ikiwa na wachezaji wa ndani sisi tumecheza nayo sana ikiwa na international players na haikufua dafu zaidi ya kusare.Endelea kujifariji. Kimoyomoyo unaujua ukweli.😂😂
Jipangeni kufikia Tanzania bado wacheni kuota ndoto za mchana.