Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yeah, njaa, 28 million people ya watu wetu wana njaa ...
Tanzanians eat more than three meals a day, Huko kenya mlo mmoja tu unawashinda

1754641531454.png
 
Making Kenya Proud on the battlefield and on the pitch.

This KDF officer was a real tractor yesterday.

1000040405.jpg
 
kwenye hao 28 million extreme poor ni 100% black people na hakuna muhindi, mwarabu au hata chotara tu hata mmoja, it tells a lot about us as people, afrikan people, dunia nzima foreign looking minority ndiyo huwa masikini na majority humiliki nchi, ila tanzagiza tumekuwa brain washed ukiongelea unfair accumulation of wealth kwa wachache wahindi na waarabu wanakuita "mbaguzi" na kwa tanzagiza kuitwa mbaguzi ni big deal, the system imekuwa designed hivyo ...
Hizo criteria zenyewe zinazotumika kupima indication of poverty ni fictious.
Hata wanauchumi wakubwa wamelizungumzia sana.
Pia Tanzania utajiri umekuwa distributed kulingana na sector labda kama hujalifuatilia hilo.
Hao unaowaita waarabu na wahindi wameshikilia sana sekta ya biashara na viwanda.
Ila ukienda sekta za madini,mifugo,kilimo n.k ni zimeshikiliwa na waTZ wenyewe.
Hizo criteria za kupima poverty indications sijawahi kuziamini na sintowahi kuziamini.
Maana hazina umadhubuti.
 
Hizo criteria zenyewe zinazotumika kupima indication of poverty ni fictious.
Hata wanauchumi wakubwa wamelizungumzia sana.
Pia Tanzania utajiri umekuwa distributed kulingana na sector labda kama hujalifuatilia hilo.
Hao unaowaita waarabu na wahindi wameshikilia sana sekta ya biashara na viwanda.
Ila ukienda sekta za madini,mifugo,kilimo n.k ni zimeshikiliwa na waTZ wenyewe.
Hizo criteria za kupima poverty indications sijawahi kuziamini na sintowahi kuziamini.
Maana hazina umadhubuti.
Shida ya watu kufikiria huwa jambo gumu. Sasa Msukuma yuko busy na mifugo kama Masai, au Kilimo.

Unataka utajiri wake uhesabiwe kama Mhindi mwenye duka??

Na hawa Wahindi wana favor tangu ukoloni walikuwa middle class, sema kwetu hapa tuliwadhibiti kidogo.

Walikuwa na viwanda kabla ya ukoloni.
 
Shida ya watu kufikiria huwa jambo gumu. Sasa Msukuma yuko busy na mifugo kama Masai, au Kilimo.

Unataka utajiri wake uhesabiwe kama Mhindi mwenye duka??

Na hawa Wahindi wana favor tangu ukoloni walikuwa middle class, sema kwetu hapa tuliwadhibiti kidogo.

Walikuwa na viwanda kabla ya ukoloni.
Watu huwa hawajipembui kabisa.
Eti criteria ya kupima umaskini ni mtu kuishi chini ya dola moja.
Mara sijui kutokumiliki kitu fulani.
Hao wanaotajwa kuwa masikini unakuta wana ng'ombe na mbuzi uwanja mzima. Huyo utamuita masikini?
Si ameshindwa tu kuibadilisha asset yake kuwa fedha?
Je akiibadili asset yake ya mifugo kuwa pesa unampata!?
Pia jamaa kashindwa hata kufuatilia mgawanyo wa utajiri hapa Tanzania.
Sekta za kiserikali zote tumeshikilia wenyewe, sekta za uvunaji pesa kupitia natural resources mathalan madini tumeshikilia wenyewe kwa kiasi kikubwa,kilimo, ufugaji n.k n.k.
 
Back
Top Bottom