GANJIBHAAI
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 723
- 1,883
Cha nini wakati unanielewa kwa kiswahili au ushajiona London boy na huo umaskini wako, just save yourself.Kiingereza ndio huelewi ama?
Cha nini wakati unanielewa kwa kiswahili au ushajiona London boy na huo umaskini wako, just save yourself.Kiingereza ndio huelewi ama?
Tanzanians eat more than three meals a day, Huko kenya mlo mmoja tu unawashindayeah, njaa, 28 million people ya watu wetu wana njaa ...
Kusoma ndio hujui ama?Cha nini wakati unanielewa kwa kiswahili au ushajiona London boy na huo umaskini wako, just save yourself.
Mashabiki wenyewe ndio hawa sasa viti vya kijani kibichi View attachment 3435509
Hii nchi Kila mtu kisha changanyikiwa hawa watu Kichwani Ni Zero
View: https://www.instagram.com/reel/DNCm-m1pbci/?igsh=M281Nm80MTU0aXVr
View: https://x.com/CAFCLCC/status/1953722533796016547?t=qs1pt4_qIuc5x5CRQCWNIQ&s=19 nyang'au nyie si ndio football nation,tuonyeshe timu toka ukundustan hapo maku nyinyi
Zilete hapa hizo slums zitaje.70% of Tanzanians live in slums.
Uliza World Bank.Zilete hapa hizo slums zitaje.
Mie naanza na Kenya Mukuru kwa Reuben.
Niambie TV gani una own. Size ipi nicheke kidogoUliza World Bank.
Hizo criteria zenyewe zinazotumika kupima indication of poverty ni fictious.kwenye hao 28 million extreme poor ni 100% black people na hakuna muhindi, mwarabu au hata chotara tu hata mmoja, it tells a lot about us as people, afrikan people, dunia nzima foreign looking minority ndiyo huwa masikini na majority humiliki nchi, ila tanzagiza tumekuwa brain washed ukiongelea unfair accumulation of wealth kwa wachache wahindi na waarabu wanakuita "mbaguzi" na kwa tanzagiza kuitwa mbaguzi ni big deal, the system imekuwa designed hivyo ...
Shida ya watu kufikiria huwa jambo gumu. Sasa Msukuma yuko busy na mifugo kama Masai, au Kilimo.Hizo criteria zenyewe zinazotumika kupima indication of poverty ni fictious.
Hata wanauchumi wakubwa wamelizungumzia sana.
Pia Tanzania utajiri umekuwa distributed kulingana na sector labda kama hujalifuatilia hilo.
Hao unaowaita waarabu na wahindi wameshikilia sana sekta ya biashara na viwanda.
Ila ukienda sekta za madini,mifugo,kilimo n.k ni zimeshikiliwa na waTZ wenyewe.
Hizo criteria za kupima poverty indications sijawahi kuziamini na sintowahi kuziamini.
Maana hazina umadhubuti.
World bank hakuna pahala walitaja slums hata moja toka Tanzania.Uliza World Bank.
70% of Tanzanians live in slums according to World Bank.World bank hakuna pahala walitaja slums hata moja toka Tanzania.
Ila naweza kukuletea majina ya slums kutoka world bank ndani ya Kenya.
Watu huwa hawajipembui kabisa.Shida ya watu kufikiria huwa jambo gumu. Sasa Msukuma yuko busy na mifugo kama Masai, au Kilimo.
Unataka utajiri wake uhesabiwe kama Mhindi mwenye duka??
Na hawa Wahindi wana favor tangu ukoloni walikuwa middle class, sema kwetu hapa tuliwadhibiti kidogo.
Walikuwa na viwanda kabla ya ukoloni.