Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Hata ujifanye kuandika kizungu haisaidii, kunyukwa mtanyukwa tu😂You struggled against Mauritania and you have the guts to mention Morocco in your mouth! How funny!
Hata ujifanye kuandika kizungu haisaidii, kunyukwa mtanyukwa tu😂You struggled against Mauritania and you have the guts to mention Morocco in your mouth! How funny!
Kariakoo si ndio hio hapo kwa right edge at the top na ghorofa fupi fupi kama za pipeline.Let me give you the benefit of doubt but looking at this picture, you want to tell me that from where this picture was taken (the distance), Kariakoo, which is only 2.5 kilometers (after taking a million corners to make it seem far away)from TPA is not visible at all when TPA is clearly visible? Wacha kutuona wajinga
View attachment 3435319
Bongolala ni kama malaya, hawawezi ridhishwa.Last time walilaumu DRC hawachezi vizuri. Leo hii wanalaumu Angola. Sunday watalaumu Morocco. Yani jamaa haziwezi kubali kusema Harambee Stars ni wanoma. Imagine pale wanapoangalia mpira zile hasira ziko hapo. 🤣 🤣
ExactlyKariakoo si ndio hio hapo kwa right edge at the top na ghorofa fupi fupi kama za pipeline.
Sisi wanasiasa waliteka show ila ubunifu kidogo ila najua next time tutakuwa bora zaidiKasarani Stadium. Najua mlikuwa mnangoja Kasarani pia ikuwe empty like Makwapa jana.
View attachment 3435261
Mimi ningekuwa rais wao ningewatoa na viboko kwa hizo bases zao za umbea waende wawatch ball nchi isapate aibu wanapatwa nazo saa hii🤣🤣😂😂🤣.Ohhhh sijui tukona BRT, tukona stadiums, tukona fans, we will host the best tournament. 🤣 🤣 🤣 Kwa ground mambo ni different, hawana hata 50 bob ya kuwatch games. Huko bongoslum hata travelling fans hawako.
Hawa hata wakipelekwa Dandora Stadium hawawezi jaza😂😂😂😂Ile game ya vilaza jana mashabiki walifika hata elfu kumi kweli?
🤣 🤣 🤣 Bongolala especially wa Dar is a slum hawawezi saidika, wanakuanga hivyo. Hata heri wa Arusha.Mimi ningekuwa rais wao ningewatoa na viboko kwa hizo bases zao za umbea waende wawatch ball nchi isapate aibu wanapatwa nazo saa hii🤣🤣😂😂🤣.
Yani mwanaume baadala aende wawatch ball hao wanaongelea harusi za wanamuziki😂😂
kama inauma hebu fanya kama unasogea mbele ichomoke 😂😂😂Enyewe wewe hukua fala. 🤣 🤣 🤣 Ndio maana hua tunawaita bongolala.
Chrome wanafanya marketing ya pombe, wewe unajijazia wanajenga city kama tatu city. 🤣 🤣 🤣 Sasa ona shida ya kua primary school dropout.kama inauma hebu fanya kama unasogea mbele ichomoke 😂😂😂
Game ya Mauritania na Madagascar walisema hawawezi watch game zenye sio za Tanzania. Jana Tanzania ilicheza and this was the turnout. Nakuambia wanakuwa exposed kweli kweli😂😂🤣😆Hii ndio vumbistan tunaambiwanga center of football in East Africa?😂😂😂
Tumeishi kuwaambia hapa hawatakangi kuskia. Bongolala wanajua tu Simba na Yanga.
Kenya sports zote hujaa. Rugby, Rally, Athletics, Football, Basketball. Hata high school games hua zinajaa.
View: https://x.com/PolycarpMDM/status/1953501807411372168
Acha kusingizia wanasiasa😂😂😂🤣Sisi wanasiasa waliteka show ila ubunifu kidogo ila najua next time tutakuwa bora zaidi
We fala wacha ubishani wa kijinga.Let me give you the benefit of doubt but looking at this picture, you want to tell me that from where this picture was taken (the distance), Kariakoo, which is only 2.5 kilometers (after taking a million corners to make it seem far away)from TPA is not visible at all when TPA is clearly visible? Wacha kutuona wajinga
View attachment 3435319