Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,234
- 33,453
Mimi ningekuwa rais wao ningewatoa na viboko kwa hizo bases zao za umbea waende wawatch ball nchi isapate aibu wanapatwa nazo saa hii🤣🤣😂😂🤣.Ohhhh sijui tukona BRT, tukona stadiums, tukona fans, we will host the best tournament. 🤣 🤣 🤣 Kwa ground mambo ni different, hawana hata 50 bob ya kuwatch games. Huko bongoslum hata travelling fans hawako.
Yani mwanaume baadala aende wawatch ball hao wanaongelea harusi za wanamuziki😂😂