Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?Tuoneshe hapo Kariakoo ni wapi!?
Hapo Kuna Morocco, Kijitonyama na Makumbusho.
Aya tuoneshe Kariakoo.
Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?Tuoneshe hapo Kariakoo ni wapi!?
Hapo Kuna Morocco, Kijitonyama na Makumbusho.
Aya tuoneshe Kariakoo.
Mechi Kenya hawatoboi hiyo.Da Angalo bwana yanakosa tu
TPA ndio Kariakoo!?Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?
Angola Mbele wajinga tuMechi Kenya hawatoboi hiyo.
Wana kadi nyekundu hao.
Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajingaTPA ndio Kariakoo!?
😂😂😂Pia unajua umbali wa kutoka TPA hadi Makumbusho ni kilometa ngapi!?
TPA ni Posta kivukoni na ni one-way kuelekea Makumbusho.
Hakuna Kariakoo kwenye hiyo picha.
Umechanganyikiwa wewe!?Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajingaView attachment 3435251
Wacha tuone,ila hata wakisare ni hasara kwa Kenya maana Morocco na Zambia hawatamhurumia.Angola Mbele wajinga tu
Hawana Utulivu
Lakini bao mmekula😎
Ndugu Angola nao hamna Kitu wapuuzi tuWacha tuone,ila hata wakisare ni hasara kwa Kenya maana Morocco na Zambia hawatamhurumia.
Ndugu Angola nao hamna Kitu wapuuzi tuWacha tuone,ila hata wakisare ni hasara kwa Kenya maana Morocco na Zambia hawatamhurumia.
Usiombe ujinga ukutane na confidence😂Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajingaView attachment 3435251
Kwani wewe ndo mwai of kibera au ndo kama kawaida yenu ya ma id mengi?Wacha wafe tu. Wamekufa wangapi leo, hebu tueleze msemaji wao
Mathare has better looking areas than your sprawling uswazi hovelsYote hii unajaribu kuficha Mathare kama vile hatujui😎
Ngoja hawa harambee Starz wajifurahishe kabla ya kipigo cha jumapili dhidi ya Morocco hapo KISIRANI STADIUM!😃😃Hawa Angola wameniharibia usiku wangu bure😂
Majinga tuHawa Angola wameniharibia usiku wangu bure😂