Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?
TPA ndio Kariakoo!?
😂😂😂Pia unajua umbali wa kutoka TPA hadi Makumbusho ni kilometa ngapi!?
TPA ni Posta kivukoni na ni one-way kuelekea Makumbusho.
Hakuna Kariakoo kwenye hiyo picha.
 
TPA ndio Kariakoo!?
😂😂😂Pia unajua umbali wa kutoka TPA hadi Makumbusho ni kilometa ngapi!?
TPA ni Posta kivukoni na ni one-way kuelekea Makumbusho.
Hakuna Kariakoo kwenye hiyo picha.
Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajinga
Dofoto_20250807_144952420.jpg
 
Back
Top Bottom