Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwani kwenye initial post yangu nilisema nini? I quote " we are building ports" sasa wewe unataka kuona nini zaidi ya construction progress?
Kama existing ports lacks proper infrastructure hizo mpya ndio zitakua nazo?🤣🤣
 
Kisumu

1754564714274.jpeg

1754564751068.jpeg
 
So hzo picha ndio umeona kila kitu😂 yani tazama hata umbali wa hzo picha na ile ya nairobi picha haijapigwa mbalia na kila kitu kina fit kwenye one pic
Niambie kilichobaki ndani ya hii picha. I can see kijiko ya nyama, Upanga, cbd and Kariakoo.

moizhusein_1642362358564836.jpg


And stop looking for excuses. This picture below is taken from South C na Westlands inaonekana. Do you know how far South C is from Westlands?


Gte8xtlXQAAqY8A.jpg


Uko hapa kututajia ukubwa wa Dar ambayo zaidi ya nusu ni uswazi na mashamba ya mihogo?
 
Back
Top Bottom