Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu beats Kigali
Screenshot_20250806-213149.jpg
 
Wakundustan wakitoka kupost ghorofa 1 la mzungu, wanahamia kwenye Talanta ya mchina baada ya hapo ni meters 5 za pavements za kasongo ila projects za maana kama hizi hawana


View: https://x.com/PerseusMining/status/1952884236823765434?t=bPbM9obVstBaIoTMjOj4lA&s=19

Ahsante Kaka.
Hii nimepata idea ukizingatia kuna sheria ya Local Content muda wa kwenda kupiga pesa.

Anyway ifike muda hizi taasisi za kifedha ziwezeshe watu kuwekeza maeneo ya kimkakati asee.

Sasa tuseme unapesa, huwezi wekeza pote, tukisema uende kununua msalato kiwanja, kuna Inner Ring road, government city, kuna Kwala drypot, kuna SGR vituo vya moro, kuna SGR Dodoma, damn yaani pesa zinaisha na bado kuna maeneo yanataka uwekezaji.

Mfano huko Uranium new mine, bado hiyo nyanzaga. Dah!

Nchi hii sehemu za kuwekeza ni Nyingi, ifike muda TIC wasifocus na wageni sana waambie na locals.

Mtu hana taarifa hadi usikie madalali wa viwanja na hao madalali huna uhakika kama ni kweli viwanja vina hati. Wizara ingekua inaverify speed ingeongezeka hata huenda miji ingepanuka zaidi
 
Back
Top Bottom