Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,235
- 33,461
Mombasa continues to show everyday that it's better than Dar.
Mombasa continues to show everyday that it's better than Dar.
Mzee wa kukaza fuvuMatch gani kubwa mshaihost mushinda CHAN? The tournament in bigger than CHAN in Africa is AFCON na bado hamjawaihost AFCON. So Mr Chokoraa ebu tuwaambie ni nini mlihost?
Haya haya matandam a.k.a mafuso yaliyoshindwa kubeba mizigo vijijini mkaya-convert kuwa usafiri wa umma?
Wakundustan wakitoka kupost ghorofa 1 la mzungu, wanahamia kwenye Talanta ya mchina baada ya hapo ni meters 5 za pavements za kasongo ila projects za maana kama hizi hawana
View: https://x.com/PerseusMining/status/1952884236823765434?t=bPbM9obVstBaIoTMjOj4lA&s=19
Mtalii kutoka nje ameshnagaa kuona SGR hii africa anasema ni zaidi ya hata nchi za europe 😂
View: https://youtu.be/q_bYLQ6CzeI?si=smShhigTwZLiAv-x
Zitaje, huwezi, lakini sisi tunakupa live. Dar is a Slum. Confirmed
View attachment 3434553
Be honest who is 30years backwardsWB Wako sahihi, mbona liko wazi sana, ufukara wao haufichiki 😆, wageni wanafika wanaona maisha ilivyo na walivyo wenyewe wanasema Tanzania is backwards 30 years in comparison to Kenya.., 🤣🤣🤣🤣
We maku tushahost final ccfl mara 2,kujaa kwenu uwanjani ni ushamba tu wa uwanja uliokarabatiwa kijua kali,TZ tulifanyaga hivyo miaka 15 iliyopita,kama nyie watu wa mpira muulizeni musonye chokoraa mwenzenu huko kwenye slums 110,why miaka yote cecafa cup zinafanyika TZ,mkapa ishaanda match kubwa zaidi 100,na CAF hawajawahi kutupiga faini,nyie na congo tena chan vurugu zake sasa,washamba nyinyiMatch gani kubwa mshaihost mushinda CHAN? The tournament in bigger than CHAN in Africa is AFCON na bado hamjawaihost AFCON. So Mr Chokoraa ebu tuwaambie ni nini mlihost?
Road marking huwa hamzingatii kabisa, yn kama haina umuhimu kwenu.
Be honest who is 30years backwards
Kenya
View: https://vm.tiktok.com/ZMSoSXfhj/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: https://www.tiktok.com/tiktoklite
Tanzania
View: https://vm.tiktok.com/ZMSoSCEdp/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: https://www.tiktok.com/tiktoklite
unless musafishe slums zote kisumu na water supply iwe ya uhakika, ikiwa maji tu inawashinda mutaweza mashindano nyinyi ng'ombe?Kisumu beats Kigali
View attachment 3434550
Mna shobo na wasomali, ila wanawaona takataka tu.Eastleigh Nairobi
View attachment 3434552