Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyang'au akina Teargass walikuwa wanasubiri matokeo ili watuzodoe kama walivyofanya kwa Uganda😂😂
We don't care about the results. What we focus on here is the attendance. Na ndio mlikuwa mnataka kuiandaa pekee yenu?😂😂😂👇👇👇

1754509497995.jpeg
 
Even after serikali yenu kuwanunulia 10,000 tickets bado hamuezi hata ongeza watu Mia at least mfikishe 10,100?😂😂😂🤣

1754510067678.jpeg
 
Kesho utaona vile wanang'ang'ana kuzoom pictures ili at least wapate hata empty seats at Kasarani 😂😂😂
Huko bongoslum hata hio vibe ya CHAN hakuna, yani hawa bongolalas wameboeka, wanaendelea tu na maisha yao ya ufukara kama kawaida. Hata online hype hakuna. 🤣 🤣 🤣 Hapa ndio wanajifanya wanafwatilia, huko nje they don't even care about this tournament.
 
Huko bongoslum hata hio vibe ya CHAN hakuna, yani hawa bongolalas wameboeka, wanaendelea tu na maisha yao ya ufukara kama kawaida. Hata online hype hakuna. 🤣 🤣 🤣 Hapa ndio wanajifanya wanafwatilia, huko nje they don't even care about this tournament.
Nimeona mahali mtu akisema ati serikali Yao iliwalipia 10k tickets but wakasahau kuwalipia na fare ya kuwapeleka kwa stadium na ndio maana stadium is not even 1/4 full😂 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom