Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunaendelea tulipoishia

1754507611260.png
 
Yani hata baada ya watu 10,000 kuingia bure bado mkapa ni half empty na ni team ya nyumbani inacheza
View attachment 3434232
View attachment 3434229

Meanwhile kenya mashabiki wanastruggle hata kununua tiketi. Mechi mbili za kenya zifuatazo tickets zishaisha tyari
View attachment 3434234
Watanzania ni domo domo tu wanajua

So in short gava haingewalipia, stadium ingekua empty. 🤣 🤣 🤣 GDP ya 400 billion usd hawana pesa kwani?

Si hua munasema muna GDP kubwa, kwani hamna pesa ya kujaza stadium. 🤣🤣🤣

Yani mimi sioni vile caf watakubali mechi yeyote ya afcon iandaliwe Tanzania
Kunyarendans mnahangaika. Kujipa faraja sio.?
 
Back
Top Bottom