Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama hii ndio middle income then 90% of Nairobi is wealthy. The remaining 10% is middle income.
aerial-view-of-the-slums-township-poor-houses-favelas-in-paje-village-zanzibar-tanzania-africa.jpg
Sasa utafananisha uswazi ya Dar na slum zenu za Kenya?

View: https://youtu.be/6rIV8TlrbLQ?si=ClaqEGkQXL3qye3z
 
Ukitaka uone utofauti wa Kenya na Tanzania nenda YouTube halafu search "Slums in Tanzania" halafu ukishamaliza search "slums in Kenya" ujionee mwenyewe 😂😂😂😂

Hapo ndio utaelewa kwa nini tunasema Kenya ni masikini kuliko Tz despite having high fake GDP
 
Ni kweli kabisaaa, uswazi za Tanzania ni middle class living, yaani hapa👇👇 ndio middle class ya Tanzania, hizi sio slums ni makazi ya 90% ya wakazi wa Dar, ambao ni vijakazi Dar.,
Tanzanian working class residential estates..,🤣🤣🤣🤣🤣.., watumwa kwao
View attachment 3432237
View attachment 3432236
View attachment 3432238
View attachment 3432239
View attachment 3432240
View attachment 3432241
Meanwhile Kibera na Mukuru slums reloaded., apartments zaidi ya za Mikocheni. , sijui Tanzania serikali itabomoa hizo uswazi lini wajenge standard houses., sio Karne hii..,

Kibera inafagiliwa..,
View attachment 3432253
View attachment 3432252
View attachment 3432250

Mukuru slums reloading;🔥
View attachment 3432249
View attachment 3432251

Mathare loading..,
Picha kama hizi ukimuonesha Mkenya ambaye hajawahi kutoka Kenya, anapata FARAJA kubwa sana.
 
Ukiwa maskini you got nothing to prove, hua inaonekana tu.
Lakini hakuna mechi iliyowahi chezwa Kenya mkafikisha hata ksh 12mil ya gate fee Toka kuanzisha kwake ila sisi kina record ya mpaka ksh 30mil gate fee. Sasa kati ya sisi na nyinyi nani maskini kama gate revenue collection hamjawahi fikisha hata nusu ya tz ?🤣🤣🤣🤣
 
Ukiwa maskini you got nothing to prove, hua inaonekana tu.

Michezo 10 iliyowahi ingiza pesa nyingi baina ya Tanzania na Kenya

Kenya
NafasiMechiTareheGate Revenue (KSh)Watazamaji
1​
Harambee Stars vs Gabon (WCQ)Machi 24, 20256,498,000~22,900 tiketi
2​
Harambee Stars vs Ghana (AFCONQ)Septemba 8, 20183,873,600
17,806​
3​
Mashemeji Derby 2023 (AFC vs Gor)Oktoba 9, 20232,838,300
12,172​
4​
Shabana vs Murang’a SealMachi 30, 20251,803,900(takribani)
5​
Shabana vs Tusker FCJanuari 11, 20251,058,8005,000+
6​
Shabana vs KCB FCDesemba 20241,015,000(takribani)
7​
AFC Leopards vs ShabanaOktoba 2023~1,426,300(takribani)
8​
Sofapaka vs AFC LeopardsDesemba 15, 2009617,300(takribani)
9​
Kenya vs Uganda (Friendly)Juni 2023~1,200,000(takribani)
10​
Kenya vs Rwanda (AFCON qualifier)Oktoba 2023~900,000(takribani)

Versus

Tanzania 🤣🤣🤣🤣
NafasiMechiTareheGate Revenue (TZS)Makadirio (KSh)Watazamaji
1​
Yanga vs SimbaMachi 2025545,000,000≈ 30.28M~59,325
2​
Yanga vs SimbaFebruari 2025500,000,000≈ 27.78M~57,406
3​
Yanga vs SimbaJanuari 2025436,000,000≈ 24.22M~49,758
4​
Simba vs YangaMachi 2024427,271,000≈ 23.74M~49,542
5​
Simba vs YangaDesemba 2024411,000,000≈ 22.83M~53,569
6​
Simba vs YangaJanuari 2024376,000,000≈ 20.89M(takribani)
7​
Simba vs YangaNovemba 2023350,000,000≈ 19.44M(takribani)
8​
Yanga vs Mbeya CityJuni 2024100,000,000≈ 5.56M(takribani)
9​
Yanga vs Mtibwa SugarJulai 202490,000,000*≈ 5.0M(takribani)
10​
Simba vs Mtibwa SugarAgosti 202485,000,000*≈ 4.7M(takribani)
 
Michezo 10 iliyowahi ingiza pesa nyingi baina ya Tanzania na Kenya

Kenya
NafasiMechiTareheGate Revenue (KSh)Watazamaji
1​
Harambee Stars vs Gabon (WCQ)Machi 24, 20256,498,000~22,900 tiketi
2​
Harambee Stars vs Ghana (AFCONQ)Septemba 8, 20183,873,600
17,806​
3​
Mashemeji Derby 2023 (AFC vs Gor)Oktoba 9, 20232,838,300
12,172​
4​
Shabana vs Murang’a SealMachi 30, 20251,803,900(takribani)
5​
Shabana vs Tusker FCJanuari 11, 20251,058,8005,000+
6​
Shabana vs KCB FCDesemba 20241,015,000(takribani)
7​
AFC Leopards vs ShabanaOktoba 2023~1,426,300(takribani)
8​
Sofapaka vs AFC LeopardsDesemba 15, 2009617,300(takribani)
9​
Kenya vs Uganda (Friendly)Juni 2023~1,200,000(takribani)
10​
Kenya vs Rwanda (AFCON qualifier)Oktoba 2023~900,000(takribani)

Versus

Tanzania 🤣🤣🤣🤣
NafasiMechiTareheGate Revenue (TZS)Makadirio (KSh)Watazamaji
1​
Yanga vs SimbaMachi 2025545,000,000≈ 30.28M~59,325
2​
Yanga vs SimbaFebruari 2025500,000,000≈ 27.78M~57,406
3​
Yanga vs SimbaJanuari 2025436,000,000≈ 24.22M~49,758
4​
Simba vs YangaMachi 2024427,271,000≈ 23.74M~49,542
5​
Simba vs YangaDesemba 2024411,000,000≈ 22.83M~53,569
6​
Simba vs YangaJanuari 2024376,000,000≈ 20.89M(takribani)
7​
Simba vs YangaNovemba 2023350,000,000≈ 19.44M(takribani)
8​
Yanga vs Mbeya CityJuni 2024100,000,000≈ 5.56M(takribani)
9​
Yanga vs Mtibwa SugarJulai 202490,000,000*≈ 5.0M(takribani)
10​
Simba vs Mtibwa SugarAgosti 202485,000,000*≈ 4.7M(takribani)
Your source is tomato sauce, mtu wa kucopy and paste.
 
Leta yako sasa uliyoiandaa.
Mimi nimecopy na kupaste leta yako yenye uhalisia ambayo mshawahi hata fikisha gate fee ya 10mil
Munaletea Jumuiya aibu with your empty stadium. Yani bila Simba na Yanga hakuna cha maana huko bongoslum.
 
Back
Top Bottom