The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ila Mombasa kuna vumbi jamani duuuhhhhKama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.
![]()
Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.
![]()
Ila Mombasa kuna vumbi jamani duuuhhhhKama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.
![]()
Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.
![]()
Leopard Tours atakuwa kaua biashara yake 🤣🤣🤣I see inaonekana alikua na Motive huyo Mzungu aka Mzunguko
Waharakishe vichwa vya mabehewa ya gorofa vije fasta na the rest ya double decker coaches. Naona kuhusu hili wamekaa kimya sana sijui shida iko wapi.Nahisi kwa Yale ya locomotive mabehewa hayatoshi maana yalikuwa 59 hapo Kuna mpaka lile la rais na lile la escort ya mizigo kwenye treni ya mizigo.
Kwa sasa zinazofanya kazi ni treni 3 , mbili zinaenda Dodoma kwa na moja ni Ile ya Moro dar , nadhani kuna reserve ya mabehewa kwa ajili matengenezo pale au kuyapa shift.
Mimi naona wabalansi muda tu zile treni tatu zipige trip nne kwa siku , yaan Kila treni iongezewe trip moja badala ya tatu za sasa hivi
tuwekee source basi una-post kama ulikuwepo kupiga picha?
View: https://x.com/Dodoma_Zone_/status/1949600135127658814
Damn this thing is cooked! Yaani huku ndipo final itachezwa?
View: https://youtu.be/8LlP39ZT4ZM?si=QEPR4pDFNxHI2OwO
View: https://youtu.be/OTzCXd1AbB0?si=xW8qnMm_C0TTmY_f
Mbona mlikuwa mnatusimanga sisi na twin towers zetu kumbe mnazipenda ilikuwa wivu tuu 🤣🤣🤣And there are more twin towers coming up around this area,it will be massive
Watu ambao hata kuoga ni kwa manati unataka waanzeje kufikiria kuhusu kuosha gari moshi?😁😁
Mbona sioni tofauti? Tena ya Msamvu ina cladding! Labda parking area!Hii bus stand mpya ya Morogoro ni nzuri sana kuliko ya msamvu.
View attachment 3421356
GDP ya kuchovya ili kiinchi kionekane kina uwezo wa kukopa 😃Lakini wao wako proud kujipost kwenye mabati houses hizo GDP zao sijui zinawasaidia nini
The stadium is already sold out wewe bado unapanua midomo hapa.Dah hawa nyangau watatuaibisha kwenye hii CHAN facility hii bado kabisa haina standards za kutosha ku host CAF matches.
Msikilize rais wao achana na huyo kondoo. 😂😂😂
View: https://www.facebook.com/share/v/1MC9LTvA4U/?mibextid=wwXIfr