Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.

Image


Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.

Image
Ila Mombasa kuna vumbi jamani duuuhhhh
 
Nahisi kwa Yale ya locomotive mabehewa hayatoshi maana yalikuwa 59 hapo Kuna mpaka lile la rais na lile la escort ya mizigo kwenye treni ya mizigo.
Kwa sasa zinazofanya kazi ni treni 3 , mbili zinaenda Dodoma kwa na moja ni Ile ya Moro dar , nadhani kuna reserve ya mabehewa kwa ajili matengenezo pale au kuyapa shift.
Mimi naona wabalansi muda tu zile treni tatu zipige trip nne kwa siku , yaan Kila treni iongezewe trip moja badala ya tatu za sasa hivi
Waharakishe vichwa vya mabehewa ya gorofa vije fasta na the rest ya double decker coaches. Naona kuhusu hili wamekaa kimya sana sijui shida iko wapi.
 
Back
Top Bottom