Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hapo kajichoma mwenyewe,inaonekana Kenya wanaandika wasichoweza kutimiza,"delayed and incomplete disbursement" hii inaashiria hizo pesa kiuhalisia hakuna.
Lini shule zimekosa kupokea au kuropokwa tu
 
Alitaka yapakwe rangi kama ya Bucha😂
Wapaka rangi wenyewe ndiyo hawa kina unyango(onyango) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250724_182447_Google.jpg
 
Lini shule zimekosa kupokea au kuropokwa tu
Si umeleta taarifa mwenyewe inasema "delayed and incomplete disbursement"?
Au hiyo taarifa hujaileta wewe?
Yani Kuna kuingizwa pesa kwa kuchelewesha ama kwa kuingizwa pesa pungufu nje na iliyotakikanika.
Tayari inaonesha mapungufu hapo.
Wacha kujitia upofu.
Kwanini kuwe na delayed and incomplete disbursement?
 
Back
Top Bottom