Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
so what special with this data center?
Very special, the fact that they are planning to spend more money than your entire GDP makes it even more special.so what special with this data center?
Nashindwa kumuelewa huyo jamaa. 🤣🤣🤣Kwamba hizo vitu anavyo post ndo vinaonesha kuwa smart au ana maana gani! 😂😂😂
Lini shule zimekosa kupokea au kuropokwa tuNa hapo kajichoma mwenyewe,inaonekana Kenya wanaandika wasichoweza kutimiza,"delayed and incomplete disbursement" hii inaashiria hizo pesa kiuhalisia hakuna.
Wapaka rangi wenyewe ndiyo hawa kina unyango(onyango) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Alitaka yapakwe rangi kama ya Bucha😂
Hata ni zaidi ya hio doubleWacha upumbavu! Leta evidence!
Msee wa $400B GDP unajua Kenya imekuwa na free education kuanzia mwaka gani?Walikuwa wanamuiga tembo hao. Pia tunaweza sema ni "another indicator of fake GDP".
Niliwapa challenge ndugu zetu hawa, Wakenya, watuoneshe nchi yenye GDP chini ya $250 inayofanya, tunayofanya, mpaka sasa kimya.
NairobiWalker nairobae
The one for Tanzania is in tzs and the one for kenya is in kshboth r Kenyan shillings!
Your government can’t afford now, tulia mzee. Uchumi wenu mgumu.Msee wa $400B GDP unajua Kenya imekuwa na free education kuanzia mwaka gani?
Yako chini lakini si kama yenuMakusanyo ya halmashauri zao yako chini sana , hayaendani na uhalisia
98% ya vitu vinavyotumika kwenye shule za Tanzania vinatengenezwa hapa hapa nchini, huko kenya wanategemea kutoka nje zaidi ya 80%Hata ni zaidi ya hio double
View attachment 3419113View attachment 3419115
Rough conversion to usd, Tanzania's education budget for this financial year is 900m usd while that for kenya is 5.4b usd
Ebu tutajie osr ya Nairobi versus dar es salaam kwa year 2024/2025Yako chini lakini si kama yenu
Are you smart?Mtanzania smart yoyote ni smarter than any kunyan, wherever they live in this world. You can’t challenge our smart people.
Mi nachojua mmeishiwa pumzi au mmecheua, kwa lugha ya mtaani.Msee wa $400B GDP unajua Kenya imekuwa na free education kuanzia mwaka gani?