President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,026
- 93,386
Mbona mnawakuza sana Wanyarwanda? Kitu gani wamewahi kufanya mpaka mnawakuza hivyo? Kiuchumi, Kiakili, Kiulinzi, Kiusalama tunawazidi kwa mbali mno. Mambo yote ya kiusalama wanakuja kujifunza TZ.Hoa wanawake wakinyarwanda wote ni maspy tu!! Mtu kama lugumu kuwa na mpenzi wa kinyarwamda ni national security threat. Wakati lugumi anaongea na majerali akijiachia, demu ananasa kila kitu anapeleka habari Kigali!!
Hawa wanyarwamda sio wa kuwaamini kabisa! Wamesha tuonesha tena na tena sio watu wazuri kabisa!!!
Huyo Lugumi ndiye anayenunu silaha za majeshi yao.
Mwache Lugumi ale mtoto mbichi.