Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi wewe ni zuzu au ni mpumbavu.? Kuna elimu ya kugharamia 25k a year.? 🤣🤣🤣🤣. Au ume google tu ukaona ulete hapa..?
We bongolala sitaki domo domo vile mmezoea..niletee evidence hapa ya funding kwenye shule zenu kutoka kwa serikali. Nyinyi ni maskini
 
Ukitaka uende vizuri kabisa anza na huyu jamaa:
Lugumi Saidi hamad

Huyu jamaa ndiye mwagizaji mkuu wa silaha za majeshi.

Demu wa Lugumi aka Mke anaitwa Jolly Mutesi Miss Rwanda2016
Chombo kweli kweli


Wote wawili ni philanthropists

Jolly Mutesi alizaliwa Uganda.

Anza kuunganisha Miasita itapendeza na majumba ya Lugumi.
Unatakiwa utueleze hiyo Olympic ilianza mwaka gani?
wakati mwingine tuache wivu hizi biashara ziko registered Brela including owners! Haya maneno ya sijui hiki kile hayajengi!
 
Kenya about to be the 5th largest producer and exporter of avocados in the world. As usual putting Africa on the world map. Na tumetulia tu kimya kimya ..😜
View attachment 3418971
Screenshot_20250726-093238.png

Baada ya bashe kupiga pin wachuuzi toka chokoraa country hii ndio report ya 2023,kidogo kidogo tutaelewana tu
 
Nyinyi ni bongolala, you only disburse 25000tsh per student yearly which is around 1000ksh
View attachment 3418941
Compare this with the what kenya disburse to secondary schools per student

View attachment 3418943
Thats around 450k Tanzania shillings
Basically, kenya disburse more than 20times more than Tanzania
Haki ya mama wakenya hamna akili 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna budget na mapato.

Ingawa Kenya wanajua kukusanya Pesa. Kenya kodi, tozo za Halmashauri hawacheki na mtu, watu wanapigika.

Hata ukiangalia makusanyo yao ni makubwa, ila wanasiasa wanakula 90% ya hizo pesa zote
Mishahara yao ni trillion 2 za Tanzania kwa mwezi wakati Tanzania mishahara kwa mwezi ni billion 700 Kwahiyo Tanzania tukikusanya trillion 3 kwa mwezi wao trillion 4, kwenye development expenditures tumewapita
 
Mishahara yao ni trillion 2 za Tanzania kwa mwezi wakati Tanzania mishahara kwa mwezi ni billion 700 Kwahiyo Tanzania tukikusanya trillion 3 kwa mwezi wao trillion 4, kwenye development expenditures tumewapita
Mapato yao yote yanishia kwenye MISHAHARA na kulipa MADENI.

Hawawezi hata kujenga uwanja wa mpira kwa mapato ya kodi.
 
Mapato yao yote yanishia kwenye MISHAHARA na kulipa MADENI.

Hawawezi hata kujenga uwanja wa mpira kwa mapato ya kodi.
Imagine wametudouble idadi ya civil servants na huwa wanasema wapo kidogo lakini performance ni zero vikodi wanavyovipata wanavigawana umaskini
Screenshot_20250726-095524.jpg
Screenshot_20250726-095456.jpg
 
Kasarani is better than Makwapa and that's why ilichaguliwa kupost Finals. As long as your Stadium will not host Stadium finals usiniongeleshe.
uhehehehe kumbe munaumia sana😂😂
sisi ndio mabingwa wa opening ceremony na tanzania ina chezesha viwanja viwili CHAN nyinyi kimoja tu

kwetu ni znz and mkapa
 
Back
Top Bottom