Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.
Una propose road kutoka selender kupita btwn river msimbazi via Jangwani to kigogo this project ita cost around 1bil usd

Na kuna priorities nying bado mfano Mwanza To CBD needs 2x2 road

Arusha to KIA needs 2x2 road

Chalinze Dar needs 3x3 road

Bado kuna roads mfano Chunya to Itigi needs Tarmac
Serikali aishindwi kupunguza matumizi ya V8 na safari za watumishi wa nje ya nchi,ili ijenge interchange jangwani,design ya daraja kama lile huwezi kulikuta kwenye nchi za wenzetu dunia hii ya leo lipo sehemu kama ile,madaraja yale yapo nje ya mji huko,aipendezi city center ukatengeneza daraja kama la mto wami
 
Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
Hivi hakuna render ya hii project, maana tunaona picha tu
 
Walikuwa wanamuiga tembo hao. Pia tunaweza sema ni "another indicator of fake GDP".

Niliwapa challenge ndugu zetu hawa, Wakenya, watuoneshe nchi yenye GDP chini ya $250 inayofanya, tunayofanya, mpaka sasa kimya.
NairobiWalker nairobae
Uhalisia wa GDP ungeonekana kwenye mambo kama haya, pia hii ni udhibitisho IMF wana mfumo tofauti na tunavyoamini wa kupanga madaraja ya uchumi kwa nchi duniani, zipo weird hidden factors nyuma ya pazia.
 
Hivi unafahamu bajeti ya elimu ya kenya ni mara mbili ya Tanzania?
Bajeti hata wewe unaweza kujiamulia wiki ijayo utatumia million 200 lakini haimaanishi mapato yako yatakua hivyo, hiyo ni mipango tu, serikali yenu inajua wengi ufahamu wenu finyu mkisomewa budget bungeni mnafikiri ndio revenues 😂😂😂 halafu big number doesn't matter hata ule mtambo wenu wa gongo ulikua na budget mara 3 ya bullet train yetu, Talanta 60k ina budget 20 times ya mkapa 62k
 
Lipieni watoto wasome bure kwanza, ndo tuone umuhimu wa bajeti. Mnapoteza vipaji bila kujua.
Nyinyi ni bongolala, you only disburse 25000tsh per student yearly which is around 1000ksh
1000057871.jpg

Compare this with the what kenya disburse to secondary schools per student

1000057873.jpg

Thats around 450k Tanzania shillings
Basically, kenya disburse more than 20times more than Tanzania
 
Nyinyi ni bongolala, you only disburse 25000tsh per student yearly which is around 1000ksh
View attachment 3418941
Compare this with the what kenya disburse to secondary schools per student

View attachment 3418943
Thats around 450k Tanzania shillings
Basically, kenya disburse more than 20times more than Tanzania
Hivi wewe ni zuzu au ni mpumbavu.? Kuna elimu ya kugharamia 25k a year.? 🤣🤣🤣🤣. Au ume google tu ukaona ulete hapa..?
 
Nyinyi ni bongolala, you only disburse 25000tsh per student yearly which is around 1000ksh
View attachment 3418941
Compare this with the what kenya disburse to secondary schools per student

View attachment 3418943
Thats around 450k Tanzania shillings
Basically, kenya disburse more than 20times more than Tanzania
Delayed and incomplete disbursement.
Hii inaonesha mnaandika bajeti kubwa ambayo ni nje na uhitaji pia ambayo hamuwezi kui manage.
Ufisadi na ujinga juu.
 
Hii income ya passengers service Kenya ni kituko . Tz we are far ahead 🤣🤣🤣
 
Kenya about to be the 5th largest producer and exporter of avocados in the world. As usual putting Africa on the world map. Na tumetulia tu kimya kimya ..😜
IMG_7248.jpeg
 
Back
Top Bottom