Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wachina wanakenua meno tuu 200 Golden Dragon BRT Buses Delivered to Tanzania | Bus-News 200 Golden Dragon BRT Buses Delivered to Tanzania
Screenshot_20250725-092639.jpg
 
Walicheza mechi na veterans wakapigwa 2-0 lazima wangekimbia
Well, look at this one haha,
This one be the surest way of earning some ease instant money,
Kwa wale wawekezaji,
Bet Kenya Loses over 1.5 each match, Kisha weka mzigo. Unapiga hela hapa.
Kenya hawataambulia hata sare Moja hapa, ni vipigo tu. No wonder juzi wamekimbia mashindano huko Karatu. Aibu naona Mimi. 😄😄😄
View attachment 3417215
 
Ally awadhi ni nani sasa kwenye lake oil na Olympic sio Iko chini ya Ali don na Wana ofisi Kigali ila makao makuu ni mwanza
Ukitaka uende vizuri kabisa anza na huyu jamaa:
Lugumi Saidi hamad

Huyu jamaa ndiye mwagizaji mkuu wa silaha za majeshi.

Demu wa Lugumi aka Mke anaitwa Jolly Mutesi Miss Rwanda2016
Chombo kweli kweli


Wote wawili ni philanthropists

Jolly Mutesi alizaliwa Uganda.

Anza kuunganisha Miasita itapendeza na majumba ya Lugumi.
Unatakiwa utueleze hiyo Olympic ilianza mwaka gani?
 
Ukitaka uende vizuri kabisa anza na huyu jamaa:
Lugumi Saidi hamad

Huyu jamaa ndiye mwagizaji mkuu wa silaha za majeshi.

Demu wa Lugumi aka Mke anaitwa Jolly Mutesi Miss Rwanda2016
Chombo kweli kweli


Wote wawili ni philanthropists

Jolly Mutesi alizaliwa Uganda.

Anza kuunganisha Miasita itapendeza na majumba ya Lugumi.
Unatakiwa utueleze hiyo Olympic ilianza mwaka gani?
Haya 2006 sasa hapo hakuna sehemu inaonesha wenyewe wanamiliki hiyo kampuni labda kama una evidence yao wao kuhusika .
 
Haya 2006 sasa hapo hakuna sehemu inaonesha wenyewe wanamiliki hiyo kampuni labda kama una evidence yao wao kuhusika .
Hakuna sehemu nimekuambia kuna mtu anaye Milki kampuni kaka. Nimekuamnbia tu unatakiwa uwe na relatioship nzuri na watu ili upate pesa. Acha kuhesabu pesa za watu, tafuta pesa zako
 
I am not a high tech guy nimekupa code hapo lakini kwa akili yako ndogo umeshindwa kuielewa that shows what calibre of a person you are. In addition it shows you have never set your foot in NC it is not Tech triangle it is called Research Triangle you are so dumb indeed.
Gotcha ya !!!… I knew you are full of it . You are a liar liar !.. the fact that you never heard the term “tech triangle” means you are basing your argument on what you read online and only a person who has stepped their foot there would know that. Now I see why Kenyans refers you as the jack of all trades. Let me give you the perspective… it’s like someone saying they have lived in Tanzania and when asked how life was in Bongo they respond that they never heard of Bongo and continue to argue there is no country named Bongo . It’s called Republic of Tanzania. You see how ignorant that would sound. It means they either lived in Tanzania by Google or never interacted while there 😁😁That’s you right now. Don’t get mixed up between North Carolina and North Tandale 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom