Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,778
- 103,625
Kibera ipo wapi?Touchdown at Wilson airport
View attachment 3418622
Kibera ipo wapi?Touchdown at Wilson airport
View attachment 3418622
Three towers above 30floors can be clearly coming up next to GTC.
Mtu hawezijua kama hapa ni Africa.Touchdown at Wilson airport
View attachment 3418622
Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flanDaraja la Jangwani Mpaka tunakamilisha wanatuangalia tu. Ndio tumeanza hivyo
View attachment 3418623
View attachment 3418624
View attachment 3418625
Stadium with no LED Perimeter Advertising Boards
Nenda ukaumie mbali.Stadium with no LED Perimeter Advertising Boards
Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
Hata akienda Kibera😁Mtu hawezijua kama hapa ni Africa.
View: https://youtu.be/ewpdSjUTSO8?si=2djQks_17gpbGnhr
Ukiangalia hii video nakuhakikishia kamwe hutainua mkono wako kutype anytjing concern stadiums. Video ya moto tu haina hata masaa 24 🔥, binafsi nimekuwa suprised na Benjamin Mkapa Stadium.Viva Tanzania, ni kuwakalisha tu hawa manyang’au muda wote 😄