Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkapa Stadium

1753472100559.png


1753472172296.png
 
Daraja la Jangwani Mpaka tunakamilisha wanatuangalia tu. Ndio tumeanza hivyo

View attachment 3418623

View attachment 3418624

View attachment 3418625
Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
 
Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.
Una propose road kutoka selender kupita btwn river msimbazi via Jangwani to kigogo this project ita cost around 1bil usd

Na kuna priorities nying bado mfano Mwanza To CBD needs 2x2 road

Arusha to KIA needs 2x2 road

Chalinze Dar needs 3x3 road

Bado kuna roads mfano Chunya to Itigi needs Tarmac
 

View: https://youtu.be/ewpdSjUTSO8?si=2djQks_17gpbGnhr
Ukiangalia hii video nakuhakikishia kamwe hutainua mkono wako kutype anytjing concern stadiums. Video ya moto tu haina hata masaa 24 🔥, binafsi nimekuwa suprised na Benjamin Mkapa Stadium.Viva Tanzania, ni kuwakalisha tu hawa manyang’au muda wote 😄

There is nothing special hapa. Ukiweka Kasarani na Makwapa in one sentence I assure you nobody will pick Makwapa over Kasarani.
 
Back
Top Bottom