Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flanDaraja la Jangwani Mpaka tunakamilisha wanatuangalia tu. Ndio tumeanza hivyo
View attachment 3418623
View attachment 3418624
View attachment 3418625
Stadium with no LED Perimeter Advertising Boards
Nenda ukaumie mbali.Stadium with no LED Perimeter Advertising Boards
Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.Design ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
Hata akienda Kibera😁Mtu hawezijua kama hapa ni Africa.
View: https://youtu.be/ewpdSjUTSO8?si=2djQks_17gpbGnhr
Ukiangalia hii video nakuhakikishia kamwe hutainua mkono wako kutype anytjing concern stadiums. Video ya moto tu haina hata masaa 24 🔥, binafsi nimekuwa suprised na Benjamin Mkapa Stadium.Viva Tanzania, ni kuwakalisha tu hawa manyang’au muda wote 😄
Serikali aishindwi kupunguza matumizi ya V8 na safari za watumishi wa nje ya nchi,ili ijenge interchange jangwani,design ya daraja kama lile huwezi kulikuta kwenye nchi za wenzetu dunia hii ya leo lipo sehemu kama ile,madaraja yale yapo nje ya mji huko,aipendezi city center ukatengeneza daraja kama la mto wamiGood idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.
Una propose road kutoka selender kupita btwn river msimbazi via Jangwani to kigogo this project ita cost around 1bil usd
Na kuna priorities nying bado mfano Mwanza To CBD needs 2x2 road
Arusha to KIA needs 2x2 road
Chalinze Dar needs 3x3 road
Bado kuna roads mfano Chunya to Itigi needs Tarmac
Lipieni watoto wasome bure kwanza, ndo tuone umuhimu wa bajeti. Mnapoteza vipaji bila kujua.Hivi unafahamu bajeti ya elimu ya kenya ni mara mbili ya Tanzania?
Hivi hakuna render ya hii project, maana tunaona picha tuDesign ya hili daraja imekaa kishamba,kwa ukuaji wa jiji la dar baada ya miaka kadhaa litakua uchafu tu,then vizazi vyetu vijavyo vitalivunja na kujenga na yanayoendana kwa wakati huo,kuna shida gani hapo wakijenga interchange ya kutokea salender bridge,kinondoni na kigogo,interchange ingepunguza foleni kawawa road na morogoro road,engineers wetu sometimes wana ujima flan
Uhalisia wa GDP ungeonekana kwenye mambo kama haya, pia hii ni udhibitisho IMF wana mfumo tofauti na tunavyoamini wa kupanga madaraja ya uchumi kwa nchi duniani, zipo weird hidden factors nyuma ya pazia.Walikuwa wanamuiga tembo hao. Pia tunaweza sema ni "another indicator of fake GDP".
Niliwapa challenge ndugu zetu hawa, Wakenya, watuoneshe nchi yenye GDP chini ya $250 inayofanya, tunayofanya, mpaka sasa kimya.
NairobiWalker nairobae
Bajeti hata wewe unaweza kujiamulia wiki ijayo utatumia million 200 lakini haimaanishi mapato yako yatakua hivyo, hiyo ni mipango tu, serikali yenu inajua wengi ufahamu wenu finyu mkisomewa budget bungeni mnafikiri ndio revenues 😂😂😂 halafu big number doesn't matter hata ule mtambo wenu wa gongo ulikua na budget mara 3 ya bullet train yetu, Talanta 60k ina budget 20 times ya mkapa 62kHivi unafahamu bajeti ya elimu ya kenya ni mara mbili ya Tanzania?
Kuna budget na mapato.Hivi unafahamu bajeti ya elimu ya kenya ni mara mbili ya Tanzania?