Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I can remember sharing the render hapa, watanzania walinicheka na kunitusi vile hiyo stadium haitajengwa. I think that's the most interaction I have ever gotten from a comment in this thread, funnily 90% of the reactions were from Tanzanians laughing at those renders.
Watchman alisema atafunga account if it’s built .. ( I have the receipts). Lakini bado yuko around with his head buried in the sand trying to save face 🤣🤣🤣
 
Raleigh, Durham is a very small town better Charlottesville
How do you know Charlottesville is better?.. umefika huko ama ni maoni yako tu …😁😁
Let me enlighten you …. Raleigh, Chapel Hill and Durham tri city area is the silicon valley of the East Coast of the US . So it binds well with Nairobi’s Silicon savanna aspects. Now you know
 
Signing a player for such huge amount, I guess this is more than the girl mahiya+leopard squads net worth combined.
 
Hii inafanana Tu na Kitengela mall
Wanakufira wewe. Hii nayo ni mall ya kulinganisha na Kunduchi.?👇🏾🤣🤣🤣
IMG_9978.jpeg
 
Kwa hivyo munajenga soko ya hawkers. 🤣 🤣 🤣
Hiyo ni kawaida kwa sehemu za mizunguko ya biashara huria kama hizo kama mradi haujakamilika watu huketi na kufanya biashara zao.
Ila haimaanishi kuwa watafanya milele maana hapo bado ujenzi unaendelea.
 
Hiyo ni kawaida kwa sehemu za mizunguko ya biashara huria kama hizo kama mradi haujakamilika watu huketi na kufanya biashara zao.
Ila haimaanishi kuwa watafanya milele maana hapo bado ujenzi unaendelea.
Nchi ya 400 billion GDP inageuza construction site soko la hawkers. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom