Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta Stadium Roofing & Curtain Wall update.
1753349673414.jpg
1753349681402.jpg
1753349695722.jpg
 
Just imagine kama jpm asingeipiga chini fastjet japo halikosea ila alifanya maamuzi maagumu just imagine wawekezaji wa njee wangekuwa wanapiga hii fedha zote wanaenda kuendeleza nchi yao ila sasa air Tanzania inazidi kukua siku hadi siku 10 years ago ilikua haina ruti ata moja njee ya bongo,jambo kwa sasa inaendshwa kwa hasara ila hela yote inayopatikana inabakia hapahapa
Fastjet ilikuwa uwekezaji wa wazawa
 
They are trying to cope. Talanta ikianza Walisema haiwezi kamilika 😂.
I can remember sharing the render hapa, watanzania walinicheka na kunitusi vile hiyo stadium haitajengwa. I think that's the most interaction I have ever gotten from a comment in this thread, funnily 90% of the reactions were from Tanzanians laughing at those renders.
 
Wangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.


Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Kwanza hata lile soko la samaki aliyeshauri lijengwe pale hakutumia akili yake sawasawa, halikupaswa kujengwa pale, lingejengwa upande wa pili ferry(kigamboni )kule kwenye stand ya daladala za kwenda Geza ulole, mji mwema, kibada, tandika nk
 
Wangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.


Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Walioruhusu bajaj na boda kuingia kati kati ya jiji la Dar ndiyo wameharibu mpango nzima wa kulifanya lionekane smart, plus ufinyu wa bara bara na ukosefu wa parking ni kituko kingine ambacho hatuwezi kujivunia kwamba tuna jiji safi na lililopangika vizuri. Ukipita mitaa ya kkoo watu utadhani ni mifugo ipo malishoni, full vurugu na harufu za maji taka kila sehemu
 
Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanaokuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.


Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center

Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.

Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
Kwanza karibu na ikulu unajengaje soko la samaki? Ni upuuzi kiasi gn aisee, shombo tupu la samaki, alafu hata ile station ya vivuko pale ferry ibomolewe, imeshaoza. At least Azam amejitahidi kujenga vzr, vyoo safi but the rest ni uchafu, na serikali kama imeshindwa huduma imuachie Azam lkn wawe wanapanga bei elekezi ili wananchi wasiumizwe.
 
Back
Top Bottom