Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just imagine kama jpm asingeipiga chini fastjet japo halikosea ila alifanya maamuzi maagumu just imagine wawekezaji wa njee wangekuwa wanapiga hii fedha zote wanaenda kuendeleza nchi yao ila sasa air Tanzania inazidi kukua siku hadi siku 10 years ago ilikua haina ruti ata moja njee ya bongo,jambo kwa sasa inaendshwa kwa hasara ila hela yote inayopatikana inabakia hapahapa
Fastjet ilikuwa uwekezaji wa wazawa
 
Built in Kenya by Kenyans for Kenyans. Hapa hakuna cha kupelekea Mchina pesa like our lazy neighbours.

1000027524.jpg
1000027525.jpg
 
They are trying to cope. Talanta ikianza Walisema haiwezi kamilika 😂.
I can remember sharing the render hapa, watanzania walinicheka na kunitusi vile hiyo stadium haitajengwa. I think that's the most interaction I have ever gotten from a comment in this thread, funnily 90% of the reactions were from Tanzanians laughing at those renders.
 
Wangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.


Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Kwanza hata lile soko la samaki aliyeshauri lijengwe pale hakutumia akili yake sawasawa, halikupaswa kujengwa pale, lingejengwa upande wa pili ferry(kigamboni )kule kwenye stand ya daladala za kwenda Geza ulole, mji mwema, kibada, tandika nk
 
Wangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.


Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Walioruhusu bajaj na boda kuingia kati kati ya jiji la Dar ndiyo wameharibu mpango nzima wa kulifanya lionekane smart, plus ufinyu wa bara bara na ukosefu wa parking ni kituko kingine ambacho hatuwezi kujivunia kwamba tuna jiji safi na lililopangika vizuri. Ukipita mitaa ya kkoo watu utadhani ni mifugo ipo malishoni, full vurugu na harufu za maji taka kila sehemu
 
Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanaokuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.


Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center

Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.

Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
Kwanza karibu na ikulu unajengaje soko la samaki? Ni upuuzi kiasi gn aisee, shombo tupu la samaki, alafu hata ile station ya vivuko pale ferry ibomolewe, imeshaoza. At least Azam amejitahidi kujenga vzr, vyoo safi but the rest ni uchafu, na serikali kama imeshindwa huduma imuachie Azam lkn wawe wanapanga bei elekezi ili wananchi wasiumizwe.
 
Kwa miaka hiyo ilikuwa njema kipindi linaanza watu tulikuwa tunaenda Fanya utalii wa ndani buana, ni sasa hivi tu kwa sababu ya uongezeko la watu
Kwanza hata lile soko la samaki aliyeshauri lijengwe pale hakutumia akili yake sawasawa, halikupaswa kujengwa pale, lingejengwa upande wa pili ferry kule kwenye stand ya daladala za kwenda Geza ulole, mji mwema, kibada, tandika nk
 
Hii station ni nzr lkn nafikiri walikosea kuweka juu ghorofani sehemu za kukaa abiria kusubiri usafiri, wangefanya kama ile ya Msamvu pale morogoro, huku chini sehemu za watu kukaa hakuna matokeo yake wanatawanyika hovyo hovyo kama mombasa sgr terminal.
Wangeweka chini mabasi yasingetosja , sasa hivi unaiona ndogo sababu kuna watu wanastend za vichochoroni ila wakisema kuwepo na marufuku ya kupakia vichochoroni hata sehem ya kuweka mabasi tutakosa
 
Yes. Na si mlisema Talanta is 100% owned by Chinese, tena mambo imechange ama?
Unajua maana ya PPP? sasa tuambie kama hiyo bond italipwa na GoK hiyo nayo bado ni PPP? huoni kuna walakini hapo? Dunia nzima inajua mradi ni wa PPP na pia tunatako kuona evidence kuwa hiyo bond ilikuwa issued when and where.
 
Back
Top Bottom