Kwani wewe una semaje?Yes. Na si mlisema Talanta is 100% owned by Chinese, tena mambo imechange ama?
Kwani wewe una semaje?Yes. Na si mlisema Talanta is 100% owned by Chinese, tena mambo imechange ama?
Talanta is fully owned by Kenyans.Kwani wewe una semaje?
😅😅😅Talanta is fully owned by Kenyans.
Kwa hivyo ukiwa na engine una gari, haya basi enda ununue engine uendeshe. 🤣 🤣Unatuchekesha sana. Haya tuambie engine gani mna tumia ku assemble hizo gari? Au zile used ISUZU NQR8
They are trying to cope. Talanta ikianza Walisema haiwezi kamilika 😂.Talanta is fully owned by Kenyans.
Fastjet ilikuwa uwekezaji wa wazawaJust imagine kama jpm asingeipiga chini fastjet japo halikosea ila alifanya maamuzi maagumu just imagine wawekezaji wa njee wangekuwa wanapiga hii fedha zote wanaenda kuendeleza nchi yao ila sasa air Tanzania inazidi kukua siku hadi siku 10 years ago ilikua haina ruti ata moja njee ya bongo,jambo kwa sasa inaendshwa kwa hasara ila hela yote inayopatikana inabakia hapahapa
I can remember sharing the render hapa, watanzania walinicheka na kunitusi vile hiyo stadium haitajengwa. I think that's the most interaction I have ever gotten from a comment in this thread, funnily 90% of the reactions were from Tanzanians laughing at those renders.They are trying to cope. Talanta ikianza Walisema haiwezi kamilika 😂.
Sio tunajenga soko ya howkers, we have them already. This machinga complex Dodoma 👇🏾Kwa hivyo munajenga soko ya hawkers. 🤣 🤣 🤣
Na hii ya Dar hutaki kutuonyesha.Sio tunajenga soko ya howkers, we have them already. This machinga complex Dodoma 👇🏾View attachment 3416629
Kwanza hata lile soko la samaki aliyeshauri lijengwe pale hakutumia akili yake sawasawa, halikupaswa kujengwa pale, lingejengwa upande wa pili ferry(kigamboni )kule kwenye stand ya daladala za kwenda Geza ulole, mji mwema, kibada, tandika nkWangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.
Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Kila mtu anajua ISUZU NQR ilianza kutengenezwa rasmi mnamo miaka ya 1990.Kwa hivyo ukiwa na engine una gari, haya basi enda ununue engine uendeshe. 🤣 🤣
Hii lkn c inakuumbua au huioni?👇👇Na hii ya Dar hutaki kutuonyesha.
![]()
![]()
Built in Kenya by Kenyans for Kenyans. Hapa hakuna cha kupelekea Mchina pesa like our lazy neighbours.
View attachment 3416634View attachment 3416635
Walioruhusu bajaj na boda kuingia kati kati ya jiji la Dar ndiyo wameharibu mpango nzima wa kulifanya lionekane smart, plus ufinyu wa bara bara na ukosefu wa parking ni kituko kingine ambacho hatuwezi kujivunia kwamba tuna jiji safi na lililopangika vizuri. Ukipita mitaa ya kkoo watu utadhani ni mifugo ipo malishoni, full vurugu na harufu za maji taka kila sehemuWangeanzisha route ya kivukoni to gerezani kupitia Kivukoni road, Sokoine, gerezani street mbele ya SGR Terminal, kilwa, kamata then gerezani terminal. Nauli 500, waondoe zile bajaji za ferry city center, zinachafua mji.
Pia itasaidia watu wanaoshuka SGR kwenda kariakoo kupanda mabasi mengine au kivukoni kupanda mabasi mengine ya route nyingine
Kwanza karibu na ikulu unajengaje soko la samaki? Ni upuuzi kiasi gn aisee, shombo tupu la samaki, alafu hata ile station ya vivuko pale ferry ibomolewe, imeshaoza. At least Azam amejitahidi kujenga vzr, vyoo safi but the rest ni uchafu, na serikali kama imeshindwa huduma imuachie Azam lkn wawe wanapanga bei elekezi ili wananchi wasiumizwe.Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanaokuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.
Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center
Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.
Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
Halafu kuna mtu analilia kwenda Qatar kuwa midwife wakati ajira mnaweza zitengeneza bongo