Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanakuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.


Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center

Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.

Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
Soko la samaki lihamishiwe kijichi na msasani,then msasani,kawe beach na kunduchi tayari kuna masoko ya samaki,ni kama vile kkoo ihamishiwe mbezi,mbagala na tegeta,dar now ina population zaidi ya watu milioni 6,miaka 5 ijayo ngoma inaweza kufika 10 mln,so ni vizuri serikali itengeneze kitu cha kufanya watu wapungue katikati ya mji,ni vile tu afrika maono yetu ila wenzetu watu ndio wanafuata mahitaji kwa afrika muuzaji ndio anamfuata mteja thus y machinga yeye akiona sehemu kuna watu wengi anaanzisha biashara hapo hapo,miamvuli kila sehemu!
 
Wakiona kitu hiki, wakenya wanajificha

1753342647718.png
 
Soko la samaki lihamishiwe kijichi na msasani,then msasani,kawe beach na kunduchi tayari kuna masoko ya samaki,ni kama vile kkoo ihamishiwe mbezi,mbagala na tegeta,dar now ina population zaidi ya watu milioni 6,miaka 5 ijayo ngoma inaweza kufika 10 mln,so ni vizuri serikali itengeneze kitu cha kufanya watu wapungue katikati ya mji,ni vile tu afrika maono yetu ila wenzetu watu ndio wanafuata mahitaji kwa afrika muuzaji ndio anamfuata mteja thus y machinga yeye akiona sehemu kuna watu wengi anaanzisha biashara hapo hapo,miamvuli kila sehemu!
Si rahisi hivyo mzee! Mimi sioni tatizo la lile soko pale au Kkoo ilipo bali tatizo ni management haitaki kujiboresha! Pia Mentality ya wachuuzi pia iko hovyo! Angalia pale Karume lile soko la NSSF wamelikataa!

Ikitokea serikali inaamua kuwapa Wachina utaona kelele zisizo na mwisho! Mimi naamini kama lile soko linahamishwa basi liende Kigamboni na liwe kubwa ila itakuwa vizuri kama hilo likifanyika baada ya ujenzi wa daraja kati ya Kivukoni na Kigamboni!

Huwezi kuhamisha sehemu zenye historia, sababu ya wingi wa watu bali unaweza kujenga center nyingine kupunguza watu kuja mjini! Mbagala kulikuwa na plan ya terminal ya mabasi ya kusini kama ya JPM sijui imeishia wapi?
 
matatu zinatumia chasis na engine kutoka isuzu kazi yenu ni kuchonga body tu nothing else 😂😂😂😂
Chassis na Engine ambazo zinakua assembled in Kenya ili iwe gari. Ama wewe mwarabu bandia unadhani ukiwa na chassis na engine bila kushikanishwa una gari? 🤣 🤣 🤣 Primary school dropout kwani hujui cars are made on assembly lines.
 
Chassis na Engine ambazo zinakua assembled in Kenya ili iwe gari. Ama wewe mwarabu bandia unadhani ukiwa na chassis na engine bila kushikanishwa una gari? 🤣 🤣 🤣 Primary school dropout kwani hujui cars are made on assembly lines.
Unatuchekesha sana. Haya tuambie engine gani mna tumia ku assemble hizo gari? Au zile used ISUZU NQR8
 
Back
Top Bottom