Raleigh, Durham is a very small town better CharlottesvilleVenus Kwikwikwi , Nairobi sister cities in the US are Denver , Colorado and Raleigh , North Carolina. Please enlighten yourself what being a sister city means.
Raleigh, Durham is a very small town better CharlottesvilleVenus Kwikwikwi , Nairobi sister cities in the US are Denver , Colorado and Raleigh , North Carolina. Please enlighten yourself what being a sister city means.
Soko la samaki lihamishiwe kijichi na msasani,then msasani,kawe beach na kunduchi tayari kuna masoko ya samaki,ni kama vile kkoo ihamishiwe mbezi,mbagala na tegeta,dar now ina population zaidi ya watu milioni 6,miaka 5 ijayo ngoma inaweza kufika 10 mln,so ni vizuri serikali itengeneze kitu cha kufanya watu wapungue katikati ya mji,ni vile tu afrika maono yetu ila wenzetu watu ndio wanafuata mahitaji kwa afrika muuzaji ndio anamfuata mteja thus y machinga yeye akiona sehemu kuna watu wengi anaanzisha biashara hapo hapo,miamvuli kila sehemu!Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanakuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.
Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center
Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.
Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
Wale Wakundustani werevu Washaanza kulialia in midway!
View: https://x.com/georgenjoroge_/status/1948095245557600260
View: https://x.com/georgenjoroge_/status/1948099975667474614
View: https://x.com/georgenjoroge_/status/1948105622614106577
View: https://x.com/georgenjoroge_/status/1948106728513454269
View: https://x.com/georgenjoroge_/status/1948107319742451801
View: https://x.com/grok/status/1948106674742743099
View: https://x.com/grok/status/1948110039589494835
huku linachoma kuni mpaka mombasa what a loss.Zikija data za passengers zilizopikwa pale kibera na kuongezwa sifuri 2 sasa 😃😃
Kwani hiyo Bond wamenunua wakenya pekee?Kwani Talanta Stadium sio ya Mchina tena?
Si rahisi hivyo mzee! Mimi sioni tatizo la lile soko pale au Kkoo ilipo bali tatizo ni management haitaki kujiboresha! Pia Mentality ya wachuuzi pia iko hovyo! Angalia pale Karume lile soko la NSSF wamelikataa!Soko la samaki lihamishiwe kijichi na msasani,then msasani,kawe beach na kunduchi tayari kuna masoko ya samaki,ni kama vile kkoo ihamishiwe mbezi,mbagala na tegeta,dar now ina population zaidi ya watu milioni 6,miaka 5 ijayo ngoma inaweza kufika 10 mln,so ni vizuri serikali itengeneze kitu cha kufanya watu wapungue katikati ya mji,ni vile tu afrika maono yetu ila wenzetu watu ndio wanafuata mahitaji kwa afrika muuzaji ndio anamfuata mteja thus y machinga yeye akiona sehemu kuna watu wengi anaanzisha biashara hapo hapo,miamvuli kila sehemu!
Nairaland huko unaweza kukuta kenyan wanawadanganya watu hapo ni hapo ni kunyaland
Kwa hivyo munajenga soko ya hawkers. 🤣 🤣 🤣Ficha UPUMBAVU hapo ni Karume ujenzi unaendelea hata lami haijawekwa.
Chassis na Engine ambazo zinakua assembled in Kenya ili iwe gari. Ama wewe mwarabu bandia unadhani ukiwa na chassis na engine bila kushikanishwa una gari? 🤣 🤣 🤣 Primary school dropout kwani hujui cars are made on assembly lines.matatu zinatumia chasis na engine kutoka isuzu kazi yenu ni kuchonga body tu nothing else 😂😂😂😂
Unatuchekesha sana. Haya tuambie engine gani mna tumia ku assemble hizo gari? Au zile used ISUZU NQR8Chassis na Engine ambazo zinakua assembled in Kenya ili iwe gari. Ama wewe mwarabu bandia unadhani ukiwa na chassis na engine bila kushikanishwa una gari? 🤣 🤣 🤣 Primary school dropout kwani hujui cars are made on assembly lines.
Yes. Na si mlisema Talanta is 100% owned by Chinese, tena mambo imechange ama?Kwani hiyo Bond wamenunua wakenya pekee?