Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa miaka hiyo ilikuwa njema kipindi linaanza watu tulikuwa tunaenda Fanya utalii wa ndani buana, ni sasa hivi tu kwa sababu ya uongezeko la watu
Kwanza hata lile soko la samaki aliyeshauri lijengwe pale hakutumia akili yake sawasawa, halikupaswa kujengwa pale, lingejengwa upande wa pili ferry kule kwenye stand ya daladala za kwenda Geza ulole, mji mwema, kibada, tandika nk
 
Hii station ni nzr lkn nafikiri walikosea kuweka juu ghorofani sehemu za kukaa abiria kusubiri usafiri, wangefanya kama ile ya Msamvu pale morogoro, huku chini sehemu za watu kukaa hakuna matokeo yake wanatawanyika hovyo hovyo kama mombasa sgr terminal.
Wangeweka chini mabasi yasingetosja , sasa hivi unaiona ndogo sababu kuna watu wanastend za vichochoroni ila wakisema kuwepo na marufuku ya kupakia vichochoroni hata sehem ya kuweka mabasi tutakosa
 
Na hii ya Dar hutaki kutuonyesha.

Image


Image
Upande wa pili hapo lipo soko kubwa la howkers kuliko soko lolote in kunyarenda 🤣🤣 this one is just opposite to Karume, Machinga complex Dar.
 
Yes. Na si mlisema Talanta is 100% owned by Chinese, tena mambo imechange ama?
Unajua maana ya PPP? sasa tuambie kama hiyo bond italipwa na GoK hiyo nayo bado ni PPP? huoni kuna walakini hapo? Dunia nzima inajua mradi ni wa PPP na pia tunatako kuona evidence kuwa hiyo bond ilikuwa issued when and where.
 
Kwa hivyo ukiwa na engine una gari, haya basi enda ununue engine uendeshe. 🤣 🤣
Kwani hayo magari mnayonunua si yanakuja na chassis engine na cabins. Kwani unafikiri hatuoni shape za Isuzu NQR mbele ya hayo makopo?
 
Kwani hayo magari mnayonunua si yanakuja na chassis engine na cabins. Kwani unafikiri hatuoni shape za Isuzu NQR mbele ya hayo makopo?
Hakuna gari inakuja kama imeunganishwa chassis, engine na cabins, hizo unataja ni parts za gari ambazo hua zinaletwa ili zitengenezwe kua gari kwa assembly plant ya Isuzu. Nyinyi ndio hua muna import magari zikiwa complete. Sisi hua tunatumiwa parts tunajijengea kwa assembly plants zetu.
 
Unajua maana ya PPP? sasa tuambie kama hiyo bond italipwa na GoK hiyo nayo bado ni PPP? huoni kuna walakini hapo? Dunia nzima inajua mradi ni wa PPP na pia tunatako kuona evidence kuwa hiyo bond ilikuwa issued when and where.
So tena Talanta sio ya Mchina?😂😂
 
Back
Top Bottom