The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wakenya huku mtafika lini?
View: https://www.instagram.com/reel/DLkHIiLoIU1/?utm_source=ig_web_copy_link
Hii station ni nzr lkn nafikiri walikosea kuweka juu ghorofani sehemu za kukaa abiria kusubiri usafiri, wangefanya kama ile ya Msamvu pale morogoro, huku chini sehemu za watu kukaa hakuna matokeo yake wanatawanyika hovyo hovyo kama mombasa sgr terminal.