REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,229
- 10,912
Zikija data za passengers zilizopikwa pale kibera na kuongezwa sifuri 2 sasa 😃😃
Tupatie MoU lini waliingia.Raleigh, Denver , cape town, Kunming , Birmingham etc
Enyewe maskini akipata 2025 anakuwa takataka tu.
MoU ipo wapi?Venus Kwikwikwi , Nairobi sister cities in the US are Denver , Colorado and Raleigh , North Carolina. Please enlighten yourself what being a sister city means.
Ficha UPUMBAVU hapo ni Karume ujenzi unaendelea hata lami haijawekwa.B hara T imegeuka soko. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Umetaja synonym words,embu zungumzia kwa hiyo terminology ikitumika kwenye magari inamaanisha nini?
What does that help you?3 more UN bodies to relocate their world headquarters to Nairobi by end of next year in latest move by the world body to decentralize its operations. This brings the total number of UN bodies worldwide headquarters in Nairobi to five joining UNEP and UN Habitat. Nairobi joins the special league that includes only 2 other cities, New York and Geneva. No wonder they call Nairobi the capital of Africa. Now you know 😜
Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanaokuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.Hiyo plan lazma ipo haswa Mbagala BRT itakapoanza!
Very ignorant question….What does that help you?
Watu wa TFDA wapo huku ila hata majokofu ya kuhifadhia ubaridi ni muhimu! Imagine manispaa ya Jiji inakusanya kodi ila haiweki hizo facilities hata kutoa barafu kwa wenye ndoo hakuna!Kama ipo itasaidia sana watu wengi. Watu wanaotoka Zanzibar kwenda kariakoo na kivukoni, wanakuja na SGR, wanaotoka pugu na treni la mwakyembe kwenda posta na kivukoni nk.
Ni karoute kafupi lakini Kako important sana.
Bajaji zile za mnazi mmoja, kariakoo to ferry, wazitafutie route nyingine ambayo sio city centre au Main highways, Dar ni kubwa hii. Sio lazima wakae city center
Kuhusu watu wa samaki. Itungwe Sheria ya usafirishaji. Yawepo makampuni ya usambazi wa samaki sio lazima kila mtu aende Kivukoni kununua samaki. Kile ni chakula. Kiwekew utaratibu mzr hata magari maalumu kama ilivyo mikate, na bidhaa nyingine.
Sio kusafirisha samaki kwenye mwendokasi, bajaji na bodaboda
mbona naona vitalu vya miche? nn special? mataa?
Haitakutoa Kibera hiyoVery ignorant question….
VitukoFrom Buses to Vans. Kenya is on the way to full electric mobility.
These ones were built right here in Kenya by Kenyans for Kenyans.
View attachment 3416485
Kunyarendas bhana. 😆 jokers of the decadeFrom Buses to Vans. Kenya is on the way to full electric mobility.
These ones were built right here in Kenya by Kenyans for Kenyans.
View attachment 3416485