Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Walidhani wakijitoa mashindano yatahairishwa kumbe ndiyo moto umewaka
Siyo tunadhani, nyie kwa uhakika ni mafala, Yaani uanze kutupigia kelele kutoka nchi failed(Kenya). Dar kwa sasa inashindana Dallas Texas
Suhahidi huu hapa: 👇 👇 👇 👇
View: https://www.instagram.com/p/DMaQmcKNcbY/?utm_source=ig_web_copy_link
Nairobi inashindana na Mogadishu
Viongozi wetu wengi ni washamba, wazee and they lack exposure, hawajui hayo mambo.Kwanza huo mtaa wa posta mpya ungefanywa uwe wa buses tuu hakuna gari nyingine kupita lami wachanganye na rangi nyekunu barabara iwe red kabisa.
Anadhalilisha sana taasisi ya urais TanzaniaHuyu mstaafu bwana? Analalamikia kutopewa picha za Rihanna?
Hebu tutajie sister cities za Nairobi ticheke. Mara ya mwisho ilikuwa Mogadishu. KwikwikwikwiPrimary school dropout, yani leo ndio umejua kitu inaitwa sister cities, sasa hutaki tupumue.
Huna akili, apo ni karume na hizo ni BRT bus stand mpya kabisa na ujenzi unaendelea hata ulie, aliyekutumia picha aliku mislead.B hara T imegeuka soko. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Marangi kwenye hizi nguzo ni wizi na uharibifu wa fedha za umma. 🚮Dar es Salaam, Tanzania View attachment 3415824View attachment 3415827View attachment 3415828View attachment 3415829View attachment 3415830View attachment 3415831View attachment 3415832View attachment 3415833View attachment 3415834View attachment 3415835View attachment 3415836View attachment 3415838View attachment 3415839View attachment 3415840View attachment 3415841View attachment 3415842View attachment 3415843
Raleigh, Denver , cape town, Kunming , Birmingham etcHebu tutajie sister cities za Nairobi ticheke. Mara ya mwisho ilikuwa Mogadishu. Kwikwikwikwi
🤣🤣🤣 haya uamke sasa kumekucha.Raleigh, Denver , cape town, Kunming , Birmingham etc
Enyewe maskini akipata 2025 anakuwa takataka tu.
Me naona tu soko chafu imejaa hawkers.Huna akili, apo ni karume na hizo ni BRT bus stand mpya kabisa na ujenzi unaendelea hata ulie, aliyekutumia picha aliku mislead.
Rangi kwa ajili ya usalama barabarani! Kama hujawahi kuendesha huwezi jua kazi yake ni nn! Bora unyamaze!Marangi kwenye hizi nguzo ni wizi na uharibifu wa fedha za umma. 🚮
Labda amesafiri kutoka slum moja kwenda slum nyingine. 😂😂😂Umesafiri kwenda wapi wewe bwana.? 🤣🤣🤣
technology za ulaya hizi
Siyo tunadhani, nyie kwa uhakika ni mafala, Yaani uanze kutupigia kelele kutoka nchi failed(Kenya). Dar kwa sasa inashindana Dallas Texas
Suhahidi huu hapa: 👇 👇 👇 👇
View: https://www.instagram.com/p/DMaQmcKNcbY/?utm_source=ig_web_copy_link
Nairobi inashindana na Mogadishu
Maana ya fabrication ndio hujui so just keep quiet.Fubricated bos😂😂😂😂
Venus Kwikwikwi , Nairobi sister cities in the US are Denver , Colorado and Raleigh , North Carolina. Please enlighten yourself what being a sister city means.Hebu tutajie sister cities za Nairobi ticheke. Mara ya mwisho ilikuwa Mogadishu. Kwikwikwikwi