Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Best in the continent na haiwezi host any semi-finals or finals games at a continental event. We una wazimu. 🤣 🤣 Mumeundiwa uwanja ya group stages, haiwezi hata kuhost world cup match hata moja.
Don’t mind him . Kizungu ni kingumu kwake . Haelewi nilichosema ..😜
 
BTW mziki wa Zanzibar ni mwingine vile visiwa vilivyokodishwa ujenzi wa facilities ukiisha sijui kama kutakuwa na upinzani upande huu wa Africa wa Indian ocean!
Dar should try to get copy what was done in Zanzibar , i get it that the beaches are not top notch like Znz but they should also invest hasa kwenye Island ndogo ndogo zilizopo Dar Bagamoyo na Pwani
 
Dar should try to get copy what was done in Zanzibar , i get it that the beaches are not top notch like Znz but they should also invest hasa kwenye Island ndogo ndogo zilizopo Dar Bagamoyo na Pwani
Hatuna visiwa vingi vidogovidogo kama Zanzibar! Kwa Dar viko nane na IUCN categorized marine parks! Mi nafikiri mpango wa mama Tibaijuka Kigamboni ungeendelezwa si lazima kufanya kinachofanywa Zanzibar Dar! Kila sehemu ina niche yake labda Kisiwa cha Mafia ndio wanaweza kuendana na Zanzibar!

Screenshot 2025-07-21 040602.png
 
mwaiofhawaii, Oh, you're a fan of this rolling tetanus trap? Let me tell you, this 'vehicle' is about as road-legal as a unicycle with a broken wheel.

The windshield looks like it was hit by a shotgun blast of bird droppings, offering a view that would guarantee getting your license revoked.
 
Hatuna visiwa vingi vidogovidogo kama Zanzibar! Kwa Dar viko nane na IUCN categorized marine parks! Mi nafikiri mpango wa mama Tibaijuka Kigamboni ungeendelezwa si lazima kufanya kinachofanywa Zanzibar Dar! Kila sehemu ina niche yake labda Kisiwa cha Mafia ndio wanaweza kuendana na Zanzibar!

View attachment 3412723
Mafia ni Wilaya nzima, jna watu wanaishi.

Ingawa kuna kisiwa kimeshakodiwa, kinaitwa Jumeira Thanda.


View: https://www.instagram.com/reel/DFkB_2ohpxT/?igsh=MTRtbHNnZ2htdTN4
 
Mafia ni Wilaya nzima, jna watu wanaishi.

Ingawa kuna kisiwa kimeshakodiwa, kinaitwa Jumeira Thanda.


View: https://www.instagram.com/reel/DFkB_2ohpxT/?igsh=MTRtbHNnZ2htdTN4


Mafia pia ni Archipelago na ina visiwa nane! vyenye total of 972 sq km! Kwa utalii endelevu wa uwwkezaji inafaa, Tanga pia ina vijisiwa vidogo vidogo na beach ndefuu! Hizo sehemu zinawezekana pia! Potentials zipo! Hivi mnajua Songosongo kule kwenye gesi ni kisiwa pia? Msisahau Kilwa Kisiwani pia!

Screenshot 2025-07-21 081430.png


IMG_2531.png

IMG_2533.png
 

Attachments

  • IMG_2532.png
    IMG_2532.png
    1.4 MB · Views: 13
Back
Top Bottom