Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

256 slice mutapata Yesu akirudi, alafu hospitali zenu mbili za kanda zinamilikiwa na kanisa. 🤣 🤣 400 Billion GDP hatuko ligi moja.
Umeshashindwa hoja hizo hospitali zinalelewa na serikali na zilijengwa kwa ruzuku ya Serikali.
Aya ukipata lingine njoo mjadala wa vifaa tiba umeisha.
 
Nganyas from back in the day
IMG_9165.jpeg
IMG_9166.jpeg
IMG_9167.jpeg
 
Best in the continent na haiwezi host any semi-finals or finals games at a continental event. We una wazimu. 🤣 🤣 Mumeundiwa uwanja ya group stages, haiwezi hata kuhost world cup match hata moja.
Don’t mind him . Kizungu ni kingumu kwake . Haelewi nilichosema ..😜
 
BTW mziki wa Zanzibar ni mwingine vile visiwa vilivyokodishwa ujenzi wa facilities ukiisha sijui kama kutakuwa na upinzani upande huu wa Africa wa Indian ocean!
Dar should try to get copy what was done in Zanzibar , i get it that the beaches are not top notch like Znz but they should also invest hasa kwenye Island ndogo ndogo zilizopo Dar Bagamoyo na Pwani
 
Back
Top Bottom