Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kupata 128 slice CT Scan in bongoslum ni ngumu hadi unatuonyesha tender documents. 🤣 🤣 🤣 Sasa 256 slice CT Scan si mtapata in 2050. Hatuko ligi moja.

Mama Lucy Kibaki Hospital 128 Slice CT Scan.

View attachment 3412459
Kichaa wewe hospitali kubwa za kanda Tanzania zinazo hizo.
Hiyo ni Bugando iliyopo Mwanza Muhimbili Mloganzila ipo pia CT scan 128.
Wewe Kaa endelea kupiga domo.
 
Kichaa wewe hospitali kubwa za kanda Tanzania zinazo hizo.
Hiyo ni Bugando iliyopo Mwanza Muhimbili Mloganzila ipo pia CT scan 128.
Wewe Kaa endelea kupiga domo.
256 slice mutapata Yesu akirudi, alafu hospitali zenu mbili za kanda zinamilikiwa na kanisa. 🤣 🤣 400 Billion GDP hatuko ligi moja.
 
Nairobi Hadi Mombasa km 400 wanatumia masaa 7 Hadi 8 na coaches zao ni very uncomfortable plus nginjanginja maana rail line Yao continuous welded,
Yaani unafika Kila kiungo kinauma,
Wakati Tz sgr ni continuous welded, comfortable coaches, hata uwe daraja la uchumi una options za ku adjust seat the way you want, you can sleep, do your work kwenye PC, yaani kama mtu niliyesafiri na sgr mara mbili I say so.
Na Dar Dom Km 450 ni only 3hrs.
Mkuu embu rekebisha kauli.
Reli yao ni jointed rail sio continuous welded, continuous welded ni ya TZ yao ni jointed rail. Kila kipande joint Kila kipande joint nginja nginja.
 
256 slice mutapata Yesu akirudi, alafu hospitali zenu mbili za kanda zinamilikiwa na kanisa. 🤣 🤣 400 Billion GDP hatuko ligi moja.
Umeshashindwa hoja hizo hospitali zinalelewa na serikali na zilijengwa kwa ruzuku ya Serikali.
Aya ukipata lingine njoo mjadala wa vifaa tiba umeisha.
 
Nganyas from back in the day
IMG_9165.jpeg
IMG_9166.jpeg
IMG_9167.jpeg
 
Back
Top Bottom