Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

By the way, Last weekend I travelled to Dodoma Via Sgr passenger train,
This thing goes up to 180kph, plus this wasn't the emu,
I'm sure the emus does better than this

I challenge the kenyas to bring screenshots of their speedometer reading on their sgr train so we compare,
I am sure the second hand Jurassic ralics will hardly do 70kph, this I am sure. Watu na akili timamu kabisa wanauziwa na mchina lidude linatumia Kuni Karne hii, hata kama mchina ndio alitoa hela 100% ndio ukubali kila kitu, is english not helping these poor neighbors or what 😃😃😃
View attachment 3412432View attachment 3412433
Lingekuwa linafikisha hata speed ya 110 basi express ingekuwa inatumia masaa manne
 
Lingekuwa linafikisha hata speed ya 110 basi express ingekuwa inatumia masaa manne
Nairobi Hadi Mombasa km 400 wanatumia masaa 7 Hadi 8 na coaches zao ni very uncomfortable plus nginjanginja maana rail line Yao continuous welded,
Yaani unafika Kila kiungo kinauma,
Wakati Tz sgr ni continuous welded, comfortable coaches, hata uwe daraja la uchumi una options za ku adjust seat the way you want, you can sleep, do your work kwenye PC, yaani kama mtu niliyesafiri na sgr mara mbili I say so.
Na Dar Dom Km 450 ni only 3hrs.
 
Nairobi Hadi Mombasa km 400 wanatumia masaa 7 Hadi 8 na coaches zao ni very uncomfortable plus nginjanginja maana rail line Yao continuous welded,
Nasubiria total revenue mpaka kufikia June/30.

Yaani unafika Kila kiungo kinauma,
Wakati Tz sgr ni continuous welded, comfortable coaches, hata uwe daraja la uchumi una options za ku adjust seat the way you want, you can sleep, do your work kwenye PC, yaani kama mtu niliyesafiri na sgr mara mbili I say so.
Wanazidiwa na lile gusi la mizigo la sgr linapiga 4 hrs na linatembea 120km/hr
Na Dar Dom Km 450 ni only 3hrs.
 
Unaletaga ubishani wa kisenge.
Hiyo barua ya kuagiza kupelekwa CT scan 64 na CT scan 128 Moja Bugando kutoka Dar es salaam.
Inamaana zilishawasili bado kusambazwa.
View attachment 3412430
Kupata 128 slice CT Scan in bongoslum ni ngumu hadi unatuonyesha tender documents. 🤣 🤣 🤣 Sasa 256 slice CT Scan si mtapata in 2050. Hatuko ligi moja.

Mama Lucy Kibaki Hospital 128 Slice CT Scan.

ScreenShot Tool -20250720230029.png
 
Wivu ya nini ?… I will state one more time: nikiona hio roofing juu na sideways cladding, basi I will be the first to acknowledge your accomplishment. Hata cladding ya Talanta ni world class though Arusha is unique in itself. The question is kweli itawekwa ?.. soon Tutajua ..
Cc nairobae umeona mwenzio keshakubali kwamba Arusha stadium ni the best in the continent 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cc nairobae umeona mwenzio keshakubali kwamba Arusha stadium ni the best in the continent 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Best in the continent na haiwezi host any semi-finals or finals games at a continental event. We una wazimu. 🤣 🤣 Mumeundiwa uwanja ya group stages, haiwezi hata kuhost world cup match hata moja.
 
Best in the continent na haiwezi host any semi-finals or finals games at a continental event. We una wazimu. 🤣 🤣 Mumeundiwa uwanja ya group stages, haiwezi hata kuhost world cup match hata moja.
That Arusha Stadium will only be used for training purposes.
 
Best in the continent na haiwezi host any semi-finals or finals games at a continental event. We una wazimu. 🤣 🤣 Mumeundiwa uwanja ya group stages, haiwezi hata kuhost world cup match hata moja.
Little you know is the running trucks can always be extended to seating platforms anytime we see it fit.
Copy ?
 
Talanta lighting system will make this stadium resemble Mkapa ..🤣🤣🤣🤣… save my post
Lighting system ya Damniadio stadium 👇🏾
IMG_9855.jpeg
IMG_9858.jpeg
IMG_9856.jpeg
🤣🤣🤣 Talanta ni basic my fool brother. Vitu kama hizo zipo kibao hapa Africa.,.,

Unataka nikuonyeshe world class standards stadiums in Africa.? Zenye zinafanana na technology ya 21st century,.?
 
Little do you know is the running trucks can always be extended to seating platforms anytime we see it fit.
Copy ?
So you will be having trucks running inside Arusha Stadium?

Alafu the correct phrase is "Little did you know", sio hizo ujinga unaandika hapo juu.

Finally Stadiums huwa zinakuwa expanded outward and not inward, na let's say you want to expand it inward to cover the running tracks, how will the seating arrangements be? Ama mashabiki watakuwa wanakaa same level like a Primary School classroom?
 
Back
Top Bottom