Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Hata speed boats anatengeneza!Songoro anatengeneza vivuko.
Sijaona speedy boats
Hata speed boats anatengeneza!Songoro anatengeneza vivuko.
Sijaona speedy boats
Zanzibar ni beaches.Hivi mnajua uwanja wa arusha umejengwa pembeni ya NHC project Safari city.? 👇🏾 View attachment 3412064wenyewe walikua waneshaanza ujenzi 😄 👇🏾View attachment 3412065hopefully it will resume anytime soon, we make it happen.
My take:-
Arusha imepata fursa ya kutengeneza mji mpya within the city of Arusha. So many development projects to come out.
Arusha iko na potential ya kuwa better kuliko Zanzibar or elsewhere in EA as far as tourism is concerned.
BTW mziki wa Zanzibar ni mwingine vile visiwa vilivyokodishwa ujenzi wa facilities ukiisha sijui kama kutakuwa na upinzani upande huu wa Africa wa Indian ocean!Zanzibar ni beaches.
Arusha ni SAFARI.
LADHA tofauti
Huu uwanja upo tofauti sn na viwanja vingi vya ki Africa, huku Africa viwanja vingi vinafanana na amahoro au hoima, the likes of talanta wa Kenya, yn design zile wazungu walitumia miaka ya 90sArusha stadium 🏟️ View attachment 3412054View attachment 3412055View attachment 3412056View attachment 3412057kuna mbwa mmoja alikua anasema eti bado tunachimba msingi. 🤣🤣
Yeah ni kweli mkuu, Arusha stadium is very unique. Sio basic kama ule uwanja wa jirani zetu wa north. 🤣🤣Huu uwanja upo tofauti sn na viwanja vingi vya ki Africa, huku Africa viwanja vingi vinafanana na amahoro au hoima, the likes of talanta wa Kenya, yn design zile wazungu walitumia miaka ya 90s
Haya majitu ni majinga sn, sikuwahi kujua kabla kama wakenya ni wajinga hivi.Watakuambia hao ni wasomali utafikiri hapo ni Mogadishu kumbe hapo hapo chini ya kende zao😂. Ila watapost ile Mall kubwa ya wasomali na kusifia hapa Kenya 😂.
Walijenga kushindana na mkapa wakasahau Mkapa ina handle more than 65k spectators.Yeah ni kweli mkuu, Arusha stadium is very unique. Sio basic kama ule uwanja wa jirani zetu wa north. 🤣🤣
Hii facility wallahi ni world class hakiyamama, na hatupigi kelele wala nn, kimya kimya.Arusha mabegani 👇🏾. View attachment 3411997
Nmekuuliza kwnn zile boats zimetoka uturuki mana najua songoro anatengeneza hizo.Hata speed boats anatengeneza!
Haya madude walijinasibu watatuuzia kwa ajili ya mwendo kasi, du.Vituko hivi mnaendelea navyo?
View attachment 3411031
MRI za Phillips sasa zenu za bei rahisi toka China 😁
www.mloganzila.or.tz