Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wivu ya nini ?… I will state one more time: nikiona hio roofing juu na sideways cladding, basi I will be the first to acknowledge your accomplishment. Hata cladding ya Talanta ni world class though Arusha is unique in itself. The question is kweli itawekwa ?.. soon Tutajua ..
watu mna record ya unfinished projects mnangojelea kuona nn kitafanywa?
 
Tanzania CT scan za 128 slides zinazo zisizopungua nne ziliagizwa 2022.
Tafuta kisingizio kingine kijana.
Hohohoho you wish.

 
desi
Wivu ya nini ?… I will state one more time: nikiona hio roofing juu na sideways cladding, basi I will be the first to acknowledge your accomplishment. Hata cladding ya Talanta ni world class though Arusha is unique in itself. The question is kweli itawekwa ?.. soon Tutajua ..
Cladding ya Talanta si world class budaa. 🤣🤣🤣 it’s as moderate as that of Hoima’s one. Huu uwanja upo Damniadio (a new Senegalese city) 👇🏾
IMG_9843.jpeg
IMG_9844.jpeg
IMG_9848.jpeg
Talanta bhana ni takataka budaa. 🤣🤣🤣
 
Hohohoho you wish.

Unaletaga ubishani wa kisenge.
Hiyo barua ya kuagiza kupelekwa CT scan 64 na CT scan 128 Moja Bugando kutoka Dar es salaam.
Inamaana zilishawasili bado kusambazwa.
Screenshot_20250720-221348.png
 
Hohohoho you wish.

Kaa upige domo zaidi.
TZ sio level yenu,mkiishiwa dawa za TB mseme tuwasaidie tena sawa kijana!?
 
By the way, Last weekend I travelled to Dodoma Via Sgr passenger train,
This thing goes up to 180kph, plus this wasn't the emu,
I'm sure the emus does better than this

I challenge the kenyas to bring screenshots of their speedometer reading on their sgr train so we compare,
I am sure the second hand Jurassic ralics will hardly do 70kph, this I am sure. Watu na akili timamu kabisa wanauziwa na mchina lidude linatumia Kuni Karne hii, hata kama mchina ndio alitoa hela 100% ndio ukubali kila kitu, is english not helping these poor neighbors or what 😃😃😃
Screenshot_20250704-063119.Speedometer.png
Screenshot_20250704-062042.Speedometer.png
 
Back
Top Bottom