Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Let’s wait for the roofing first then we can give our flowers … bado haijafika
Asante kwa kukubali kwamba Arusha stadium ni kiwanja bora zaidi Africa, FYI huwa hatutoki nje ya render na hatujawahi kutoka nje ya render, kama unavyoona hapa
Render 👇👇
downloadfile-117.jpg

Real 👇👇😍😍😘😘
downloadfile-83.jpg
 
Talanta is very modern
The design started around 2003.
Stadiums like Emirates, alianze arena, athletic Bilbao, Wembley etc ziko Ivo ndani.
Even current camp Nou upgrade Iko Ivo ndani kabisa.
Amka utajinyea, fikieni kwanza ubora wa Mkapa stadium ndiyo mje kulinganisha na the mighty Arusha stadium 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Asante kwa kukubali kwamba Arusha stadium ni kiwanja bora zaidi Africa, FYI huwa hatutoki nje ya render na hatujawahi kutoka nje ya render, kama unavyoona hapa
Render 👇👇View attachment 3412326
Real 👇👇😍😍😘😘View attachment 3412327
Don’t push your luck too far. Bado safari .. I will wait till I see that roofing style . Then I will give my props . Lakini capacity ni ndogo na running track makes it ordinary.
 
Samia kanunua ndege mbili tu ambazo ni 737 MAX 9 registration (5H-TCP) ambayo ilikuwa delivered October 2023 na MAX 9 registration (5H-TCQ) ambayo ilikuwa delivered March 2024. Ndege zote za ATCL unazoziona zilikuwa ordered na serikali ya awamu ya 5. WACHENI UJINGA NA UCHAWA, HAUJENGI BALI UNABOMOA. Sema KWELI japo ni chungu.
Niliposoma headline nikashangaa, na kujiuliza, "kweli mambo yamekuwa mengi na yanaenda kasi hata kushindwa kujua maendeleo yote". Ila niliposoma jumla ni 16 nikajua hii ni chai.
 
Don’t push your luck too far. Bado safari .. I will wait till I see that roofing style . Then I will give my props . Lakini capacity ni ndogo na running track makes it ordinary.
Capacity is not an issue for us, as we already have the largest stadium in the region, Mkapa stadium (over 65k seats), the running track is unavoidable because it's a government owned facility. Only government from shit hole country can build a stadium that doesn't consider other sports.
 
Hii ni state of art aisee, EA na Africa kwa ujumla tunapaswa kujivunia ubunifu huu, sio kila uwanja ufanane na amahoro au hoima inatakiwa Africa tutoke nje ya box tupambane na wenzetu wa Europe na US kama hivi, Arusha stadium 🏟️ 🏟️ 😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥
Always late for the party lakini kelele ni kama kuku imetaga. 🤣 🤣 🤣

BOLE, Addis Ababa | Adey Abeba Stadium | U/C | Page 15 | SkyscraperCity  Forum
 
Capacity is not an issue for us, as we already have the largest stadium in the region, Mkapa stadium (over 65k seats), the running track is unavoidable because it's a government owned facility. Only government from shit hole country can build a stadium that doesn't consider other sports.
You were going so well till you slided into shit h*le smack talk . And Mkapa is not 65k . Talanta will be the biggest and most modern in the region. Modern stadiums for football do not include track . Tembea dunia my friend.
 
Your best hospital Muhimbili has a 64 Slice CT scanner and a 1.5 Tesla MRI.




View attachment 3412142

KUTRRH has a 3 Tesla MRI and a 256 slice CT scanner. Hatuko ligi moja na wanyonge kama nyinyi.


View: https://x.com/OliveMugenda/status/1337471251703607297


View: https://x.com/kutrrh/status/1377258422429741057

Bado una ubishi wa kisenge!?
Mahitaji yameruhusu kuwepo na MRI idadi hiyo hapo hospitali.
Nilikuuliza makadirio ya wagonjwa kwa idadi ya matumizi ya hiko kifaa walau kwa mwezi hukunipa.
Unasema hatupo ligi Moja mbona tuliwasaidia dawa za TB bure!?
Muda mwingine ficheni ujinga kwa kuongea mambo msiyo na ujuzi nayo.
 
You were going so well till you slided into shit h*le smack talk . And Mkapa is not 65k . Talanta will be the biggest and most modern in the region. Modern stadiums for football do not include track . Tembea dunia my friend.
Design ya uwanja wa Talanta ni basic, the likes of Amahoro stadium and Nambole stadium in Uganda. 🤣🤣 There are so many soccer stadiums (of that kinda design) in Africa that are beautiful and more modern tha Talanta. Talanta 👇🏾
IMG_4410.jpeg
hoima stadium 👇🏾
IMG_9842.jpeg
the only difference between these two stadias ni capacity tu. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom