Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KENYA VS Tanzania E-Payment

  • GePG (Tanzania) ni "Gateway" ya malipo iliyojikita kwenye backend. Lengo lake ni kuhakikisha serikali inadhibiti na kupatanisha malipo yote yanayoingia, haijalishi yametoka wapi. Unapewa "ankara" (Control Number) na wewe unatafuta njia ya kuilipia.

  • eCitizen (Kenya) ni "Portal" ya huduma iliyojikita kwenye frontend. Lengo lake ni kumpa mwananchi sehemu moja ya kupata huduma na kuilipia kwa urahisi. Hapa, M-PESA inafanya kazi kama "injini" ya malipo iliyounganishwa moja kwa moja kufanikisha urahisi huo.

NB: Wakenya wanachekesha sana.
 
How a Tanzanian startup is moving over $1 billion to Africa and Asia

Thursday, July 10, 2025
Nala Founder and CEO Benjamin Fernandes speaks during an interview with The Citizen Managing Editor Mpoki Thomson. PHOTO | SUNDAY GEORGE

By Mpoki Thomson
Managing Editor of The Citizen Newspaper
Mwananchi Communications Limited
What you need to know:

Benjamin Fernandes,founder and CEO of Nala has opened up about the challenges he faced launching his fintech company in Tanzania

Despite early setbacks, he successfully built a customer base in Kenya and today Nala facilitates over $1 billion in remittances to Africa and Asia


MY TAKE
The idiot is way brainwashed! Chinese countries n other english non speaking countries do apps too! Imagine Mtanzania anajibu hivi on a media for the whole World to read! Mo Dewji hawezi kufanya hivi! Bwamdogo fala sana!
 
Mnavyosherehekea mtu hawezi jua juzi tu mmekuwa mkiiponda FIFA ranking eti Iko corrupt na haileti hali halisia ya mambo yalivyo. Natumia mtaendelea kuiamini FIFA hata tutakapowashinda tena which is sooner than you think. Mnakuwanga na kasumba ya kutokubali statistics zinapowaonyesha kuwa nyuma ya Kenya.
Latest FIFA Rankings released today.
tunazidi kupanda tu.


IMG_4717.jpeg
 
Tulikuwa tunaongelea uwezo wa mtanzania kutengeneza gari. Ama umebadilisha goal post tena.
Made in Tanzania kwani Tanzania ni ya nani? unafikiri huku kwetu ni kama kwenu mji mnawajngea europeans while nyie mnakaa kwenye slums zilizotapakaa kila mahali. Wafanyakazi wa hiyo kiwanda cha ndege ni watanzania pia unabisha tukuwekee picha?
 
Back
Top Bottom