Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo nataka nikuoneshe jinsi nchi yenu ipo nyuma kwenye maendeleo ya Technology.

Tanzania tupo na GePG (Government Electronic Payment Gateway)
Nyie nchi yenu ni Zero. Mnatumia MPESA kukusanya mapato yenu. Pesa zinaingia SafariCom then Serikali inaenda kuomba pesa kutoka SafariCom ili izihamishe kwenda Central Bank. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hapa lazima wizi wa pesa utendeke

KigezoGePG (Tanzania)eCitizen + M‑PESA (Kenya)
Muundo wa MfumoMfumo wa kitaifa wa kati (centralized gateway) – GePG ni lazima kwa malipo yote ya serikali.Mfumo wa huduma mseto – eCitizen ni jukwaa la huduma nyingi, si lazima kwa kila idara.
Uwazi wa MapatoMapato yote huingia moja kwa moja kwenye akaunti ya serikali BOT – hakuna pesa kupotea kirahisi.Malipo huenda kupitia M-PESA au benki, kisha kwa idara husika – uwezekano wa ucheleweshaji wa kurekodi mapato.
Halafu wanakuja hapa ati Safaricom ni biggest company na data zao za online.
 
Nikajua utani! 😂😂😂
View attachment 3400066
Kenya ni changamoto sana.

Hata eCitizen, mhuni katengeneza tu Website yake halafu akatafuta payment gateway anakusanya kila pesa ya huduma bila sababu.

Kwasababu huduma ukiifikia unalipia tena.

Yaani ni sawa na mtu, aje kuweka GATE la kulipisha entrance fee kuingia BAR au Msanii aweke gate la kiingilio na ukishaingia, ili aimbe unatakiwa kulipa tena.

WIZIIII
 
IMG_2409.png
 
KENYA VS Tanzania E-Payment

  • GePG (Tanzania) ni "Gateway" ya malipo iliyojikita kwenye backend. Lengo lake ni kuhakikisha serikali inadhibiti na kupatanisha malipo yote yanayoingia, haijalishi yametoka wapi. Unapewa "ankara" (Control Number) na wewe unatafuta njia ya kuilipia.

  • eCitizen (Kenya) ni "Portal" ya huduma iliyojikita kwenye frontend. Lengo lake ni kumpa mwananchi sehemu moja ya kupata huduma na kuilipia kwa urahisi. Hapa, M-PESA inafanya kazi kama "injini" ya malipo iliyounganishwa moja kwa moja kufanikisha urahisi huo.

NB: Wakenya wanachekesha sana.
 
How a Tanzanian startup is moving over $1 billion to Africa and Asia

Thursday, July 10, 2025
Nala Founder and CEO Benjamin Fernandes speaks during an interview with The Citizen Managing Editor Mpoki Thomson. PHOTO | SUNDAY GEORGE

By Mpoki Thomson
Managing Editor of The Citizen Newspaper
Mwananchi Communications Limited
What you need to know:

Benjamin Fernandes,founder and CEO of Nala has opened up about the challenges he faced launching his fintech company in Tanzania

Despite early setbacks, he successfully built a customer base in Kenya and today Nala facilitates over $1 billion in remittances to Africa and Asia


MY TAKE
The idiot is way brainwashed! Chinese countries n other english non speaking countries do apps too! Imagine Mtanzania anajibu hivi on a media for the whole World to read! Mo Dewji hawezi kufanya hivi! Bwamdogo fala sana!
 
Mnavyosherehekea mtu hawezi jua juzi tu mmekuwa mkiiponda FIFA ranking eti Iko corrupt na haileti hali halisia ya mambo yalivyo. Natumia mtaendelea kuiamini FIFA hata tutakapowashinda tena which is sooner than you think. Mnakuwanga na kasumba ya kutokubali statistics zinapowaonyesha kuwa nyuma ya Kenya.
Latest FIFA Rankings released today.
tunazidi kupanda tu.


IMG_4717.jpeg
 
Back
Top Bottom