Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma
IMG_9643.jpeg
👇🏾
View: https://www.instagram.com/p/DLhhBIHI5m2/?igsh=MWtrY283c2h3eW85Yg==.
 
Ukitaka kuona flyover,interchanges lazima uende Dar es salaam...that's enough to tell you venye hio nchi iko
Tanzania ni nchi inayojenga miundombinu kiuhitaji.
Haijengi tu miundombinu kisifa.
Hata hii Dar-es-salaam imejengwa flyover baada ya kuonekana zinahitajika kujengwa.
Mikoa iliyobaki kuna barabara nzuri,pana na bora,hivyo huko hakuna msongamano wa magari hakuhitajiki flyover.
Unadhani sisi kama nyie mwajijengea tu?
 
Tanzania ni nchi inayojenga miundombinu kiuhitaji.
Haijengi tu miundombinu kisifa.
Hata hii Dar-es-salaam imejengwa flyover baada ya kuonekana zinahitajika kujengwa.
Mikoa iliyobaki kuna barabara nzuri,pana na bora,hivyo huko hakuna msongamano wa magari hakuhitajiki flyover.
Unadhani sisi kama nyie mwajijengea tu?
sio kweli kuna sometimes tunabugi sana yani tunachelewa kufanya maendeleo kusubiri maji yatufike shingoni mfano dar es salaam flyover zilichelewa sana tena sana, maji yameshafika shingoni ndio tumekumbuka flyover, tizama barabara zinazojengwa BRT mfano mjini kutoka kamata kwenda airport tunarudia makosa yale yale yakujenga 4 lanes kwa ajili private cars tunaacha nafas kubwa wakat ilitakiwa tujenge hata 6lanes minimum kwa barabara kama hio lakini after 1 yrs tutabomoa tutajenga tena likewise jangwani bridge tunakumbuka shuka kumeshakucha
 
Kunyaland imechukua mikopo mikubwa saivi wana zaidi ya 90 billion dollars debt lakini hakuna lolote walilofanya zaidi ya thika highway sababu expressway ni PPP na Talanta na bado uchumi upo mortuary
IMF inasema uchumi wao umekuwa kwa $29b within a year from 2024 to 2025.

Na Ruto alivyo muhuni ataendelea kuustandardize mpaka 2027 kwenye uchaguzi. Usichangae mwakani ukafika $200b

Lakini kwa ground nothing to show zaidi ya viofisi na viappartment vya hapa na pale

Uchumi wa Tz kadri ya IMF umekuwa kwa $10b tu toka 2021
Lakin kwa ground within 4 years tumeona
1. New electric railway ikiwa opened
2. 3.2km bridge
3. BRT 2 and 3
4. 110km of Dual road around Dom
5. Finalizing ya Magufuli city
6. New msalato Airport
Nk nk. Mambo ni mengi
 
Ukitaka kuona flyover,interchanges lazima uende Dar es salaam...that's enough to tell you venye hio nchi iko
Kwa hiyo flyover na interchanges ndo general developments kwako?!

Mkuu Tz haijengi kwa maonyesho wala sifa. Bali zinajengwa kwa uhitaji.
Last month hapa watu wa Eldoret, fifth largest city in kenya waliwekewa traffic lights for the first time and they were trained mpaka ikawa news. Tanzania hadi vijijini huko sehemu kama Babati, katoro nk Kuna traffic lights na ni vitu vya kawaida.

Na sisi tuseme Kenya is not developed because Miji yao Mingi haina traffic lights?
 
Kwa hiyo flyover na interchanges ndo general developments kwako?!

Mkuu Tz haijengi kwa maonyesho wala sifa. Bali zinajengwa kwa uhitaji.
Last month hapa watu wa Eldoret, fifth largest city in kenya waliwekewa traffic lights for the first time and they were trained mpaka ikawa news. Tanzania hadi vijijini huko sehemu kama Babati, katoro nk Kuna traffic lights na ni vitu vya kawaida.

Na sisi tuseme Kenya is not developed because Miji yao Mingi haina traffic lights?
kubali mko nyuma kimaendeleo sijui mbona tunapingana 😁 😁 😁
 
sio kweli kuna sometimes tunabugi sana yani tunachelewa kufanya maendeleo kusubiri maji yatufike shingoni mfano dar es salaam flyover zilichelewa sana tena sana, maji yameshafika shingoni ndio tumekumbuka flyover, tizama barabara zinazojengwa BRT mfano mjini kutoka kamata kwenda airport tunarudia makosa yale yale yakujenga 4 lanes kwa ajili private cars tunaacha nafas kubwa wakat ilitakiwa tujenge hata 6lanes minimum kwa barabara kama hio lakini after 1 yrs tutabomoa tutajenga tena likewise jangwani bridge tunakumbuka shuka kumeshakucha
Hata kama tunachelewa ila tunajenga kulingana na uhitaji.
Sasa kaka mfano Morogoro ukajenge flyover ya nini?
 
Back
Top Bottom